#COVID19 Rais Samia: Kwenye hili janga la Corona dunia imekubaliana na philosophy ya Magufuli

#COVID19 Rais Samia: Kwenye hili janga la Corona dunia imekubaliana na philosophy ya Magufuli

..sidhani kama Watz tulihitaji kiongozi dhalimu asiyekuwa na utu.

..hivi miundombinu haiwezi kujengwa nchi hii bila kudhalilishwa, kutukanwa, kutekwa, na kuuwawa?

..hili janga la UPOTOSHAJI kuhusu ugonjwa wa corona madhara yake tuko tayari kuyakabili?
Basi tumrudishe JK na tuendelee kupata mvinyo 😂 😂 😂 😂 😂
 
Basi tumrudishe JK na tuendelee kupata mvinyo 😂 😂 😂 😂 😂

..Watz tuna-invest mno kwenye URAISI.

..Rais wa Tz akiharibu / akipotoka hakuna mtu au chombo kinachoweza kumrudisha kwenye mstari.

..napendekeza tuhakikishe BUNGE letu lina nguvu.

..Magufuli na Kikwete wangepata mabunge yenye meno wangekuwa maraisi wazuri.
 
..Watz tuna-invest mno kwenye URAISI.

..Rais wa Tz akiharibu / akipotoka hakuna mtu au chombo kinachoweza kumrudisha kwenye mstari.

..napendekeza tuhakikishe BUNGE letu lina nguvu.

..Magufuli na Kikwete wangepata mabunge yenye meno wangekuwa maraisi wazuri.
Changes zinahitajika na zitakuja. Ila sio kwa stahili ya fujo na vitisho. Tutajiharibia wenyewe. Wenye hizo agenda walee na washindwe
 
Changes zinahitajika na zitakuja. Ila sio kwa stahili ya fujo na vitisho. Tutajiharibia wenyewe. Wenye hizo agenda walee na washindwe

..Nadhani CCM ndio wanatengeneza mazingira ya mabadiliko kuja kwa vurugu na fujo.

..Kwasababu hata mwanasiasa wa upinzani awe mpole vipi, CCM lazima watatafuta namna ya kumbugudhi mpaka uvumilivu umuishie.

..Na mfano mzuri ni Freeman Mbowe. Sidhani kama ni mwanasiasa mshari-shari, lakini angalia kilichomtokea kutokana na hila za CCM.

..Sasa hivi CCM imekatisha tamaa wanasiasa wastaarabu kufanya siasa hapa nchini.
 
Magufuli atabaki kuwa kiongozi ambae mtu mwenye akili atamueshimu sana lakini walevi ,wafoji vyeti na wezi na madalali hawatokuja kumuelewa hata kidogo

Nchi sasa imekuwa ya walevi,madalali na wanaobet ndo wanatamba sasa
Tunaobet tumekosa nini jamani 😁
 
..sidhani kama wanaweza kumsafisha Magufuli kwa misimamo, upotoshaji, na mizaha yake, kuhusu ugonjwa wa korona.
Asafishwe why?! Magufuli atabaki kuwa miongoni mwa viongozi shupavu siyo tu kwa TZ Bali kwa Afrika nzima
 
Sasha mediocre,Sasha unauma na kupuliza,mtoto wa mzee Mpili asituchanganye afanyw yanayomhusu,then apite kushoto!
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wakati akiwaapisha mabalozi Ikulu Dares Salaam amesema kwenye hili janga la corona dunia nzima imekubaliana na philosophy ya hayati Magufuli kuwa ugonjwa wa Corona ni janga ambalo binadamu watalazimika kujifunza jinsi ya kuishi nao kwani haijulikani lini utaondoka.

Rais Samia amesema hata nchi walizokuwa wamefunga viwanda na kuweka lockdown wameamua sasa kwamba kazi iendelee na wamefungua viwanda vyote na kuanza uzalishaji tena kama zamani.

My take
Corona ilipoingia hapa Tanzania wabunge wa chadema wakiongozwa na Mbowe walikimbia bunge na kwenda kujifungia ndani na kuwaacha wenzao wakiendelea kuchapa kazi chini ya spika shupavu Ndugai.
Tatizo wana chadema think Mbowe is a saviour

after slaa, it will take us 20 years to have another serious opposition

liaison na wazungu ndio inacost mamluki
 
Tatizo wana chadema think Mbowe is a saviour

after slaa, it will take us 20 years to have another serious opposition

liaison na wazungu ndio inacost mamluki
Slaa wasn't an opposition leader, a true opposition leader can never switch sides.
Hii inaonyesha hakuwa akiami anachokisimamia au alikuwa ni pandikizi, sijawahi kuamini yoyote aliyetokea CCM hata kama bado wapo(sadly huwa sifuatilii sana mambo hayo) msimamo wangu ni kuwa wasiaminiwe kabisa kwenye opposition.
Slaa huyu huyu ambaye The one and only porn star Gwajiboy alimuanika kila kitu chake hadharani, ni opportunist tu nothing more nothing less. Ila ni mahiri kwa tantarira za majukwaani nadhani inatoka na experience aliyoipata kipindi akiwa padre.
 
Slaa wasn't an opposition leader, a true opposition leader can never switch sides.
Hii inaonyesha hakuwa akiami anachokisimamia au alikuwa ni pandikizi, sijawahi kuamini yoyote aliyetokea CCM hata kama bado wapo(sadly huwa sifuatilii sana mambo hayo) msimamo wangu ni kuwa wasiaminiwe kabisa kwenye opposition.
Slaa huyu huyu ambaye The one and only porn star Gwajiboy alimuanika kila kitu chake hadharani, ni opportunist tu nothing more nothing less. Ila ni mahiri kwa tantarira za majukwaani nadhani inatoka na experience aliyoipata kipindi akiwa padre.
Mbowe mwenyewe alianzia ccm… Msipoke tu

slaa had a strong vision ya chama na nchi

Dj squint ana vision moja tu, kukamua Pesa za wafadhili wake
 
..Magufuli alikuwa anapinga chanjo. Pia alikuwa akipiga vita uvaaji wa barakoa, yeye akiziita "mabarakoa."

..Na alizua kwamba kuna Watz wamekwenda nje ya nchi kuchanja wamerudi nchini na kuanza kutuambukiza.

..Sasa dunia inaweza vipi kukubaliana na kiongozi mwenye mitizamo ya ajabu-ajabu kama Magufuli?
Hawezi kuwa shujaa kwa mambo yote hayo kwa wakati mmoja, Chanjo hatujui zinausalama gani kwa miaka kadhaa ijayo
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wakati akiwaapisha mabalozi Ikulu Dares Salaam amesema kwenye hili janga la corona dunia nzima imekubaliana na philosophy ya hayati Magufuli kuwa ugonjwa wa Corona ni janga ambalo binadamu watalazimika kujifunza jinsi ya kuishi nao kwani haijulikani lini utaondoka.

Rais Samia amesema hata nchi walizokuwa wamefunga viwanda na kuweka lockdown wameamua sasa kwamba kazi iendelee na wamefungua viwanda vyote na kuanza uzalishaji tena kama zamani.

My take
Corona ilipoingia hapa Tanzania wabunge wa chadema wakiongozwa na Mbowe walikimbia bunge na kwenda kujifungia ndani na kuwaacha wenzao wakiendelea kuchapa kazi chini ya spika shupavu Ndugai.
filosofi ipi ya kujifukiza au ya dawa za kienyeji?
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wakati akiwaapisha mabalozi Ikulu Dares Salaam amesema kwenye hili janga la corona dunia nzima imekubaliana na philosophy ya hayati Magufuli kuwa ugonjwa wa Corona ni janga ambalo binadamu watalazimika kujifunza jinsi ya kuishi nao kwani haijulikani lini utaondoka.

Rais Samia amesema hata nchi walizokuwa wamefunga viwanda na kuweka lockdown wameamua sasa kwamba kazi iendelee na wamefungua viwanda vyote na kuanza uzalishaji tena kama zamani.

My take
Corona ilipoingia hapa Tanzania wabunge wa chadema wakiongozwa na Mbowe walikimbia bunge na kwenda kujifungia ndani na kuwaacha wenzao wakiendelea kuchapa kazi chini ya spika shupavu Ndugai.
Shoger katika ubora wako
 
..sidhani kama wanaweza kumsafisha Magufuli kwa misimamo, upotoshaji, na mizaha yake, kuhusu ugonjwa wa korona.
Alisafishwa na UN alipoenziwa kwa kazi njema,wewe na chuki zako hazina mashiko.
 
Back
Top Bottom