Rais Samia: Kwenye viwango vya Siasa na Demokrasia tumeshuka!

Rais Samia: Kwenye viwango vya Siasa na Demokrasia tumeshuka!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Samia anesema kwenye Viwango vya Siasa na Demokrasia vya Kimataifa hatujafanya vizuri hivyo tumeshuka chini

Source TBC

=======

Akizungumza baada ya kupokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU 2021/2022, Rais Samia amesema:

"Kwenye uchaguzi na Demokrasia tumeshuka. Tulikuwa na pointi 51, sasa tuna pointi 49. Na maeneo mengine hivyo hivyo tunaendelea kushuka. Kwahiyo nadhani twende tukajitathmini, tuangalie vile viashiria vyote wanavyoviangalia tujitathmini na tuone ni namna gani tunavifanyia kazi na tukapandisha maksi zetu."
 
Anamwambia nani Sasa?

Miaka miwilo yote bado hakuna alichofanya?

SI Kila kukicha yupo nchi za Ulaya?

Karuhusu Siasa utadhan labda zilizuiliwa..

Kasamehe Magaidi, kafuta kesi za wakosaji.

Haya analia Lia nn??
 
Ni kwasabb ya yule mshamba dikteta muuaji, mtekaji na mporaji. Lkn Sasa mama Samia anajitahidi kutupandisha..
 
Ni wakati wa kutupandisha sasa kila Zama na kitabu chake ingawa wote wapo Chini ya mwamvuli mmoja. Pia aangalie wale chawa wake wasije leta migogoro zaidi kama hawana cha kujibu bora kukaa kimya na kupata watu welevu wa kujibu mashambulizi. Kwa Mwendo wake huu wa uwazi Kwa kiasi fulani ataacha Alama na athari kubwa katika Nyanja zote, tumuombee kwenye uzito pawe na wepesi katika majukumu yake.
 
Back
Top Bottom