#COVID19 Rais Samia: Lengo ni wananchi wote wachanjwe

#COVID19 Rais Samia: Lengo ni wananchi wote wachanjwe

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Leo kwenye mkutano huko Malawi alipoenda mama yetu raisi wetu amesema lengo ni wananchi wote wachanjwe. Sasa najiuliza ni ndani ya huu mwezi mama alisema chanjo ni hiari anayetaka atachanja na asiyetaka hatachanja.

Ipo hivi kwenye Jambo lolote lile hata liwe la umuhimu kiasi gani ni lazima kuwe na pande mbili, ndio maana unaona Kuna watu wapo wengi tu hawaamini uwepo wa Mungu.

Hivyo hata kama chanjo zingekuwa na faida kiasi gani ni lazima Kuna watu wengi tu wangekataa, sasa hili suala la kusema wananchi wote wachanjwe itawezekana vipi?

Au Kuna mipango ya kuanza kuweka vikwazo kwa wasiochanjwa? Je ile hiari ambayo mmekuwa mkiisema ipo wapi?

Lakini pamoja na yote hayo nina uhakika bado hamtaweza kuchanja watu wote, hata zitumike mbinu za aina gani. Tusubiri muda

#mbowe sio gaidi#

Screenshot_20210817-173525_1.jpg
 
Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.

Kwani nini kisichojulikana?

Aboubakar Mbowe aliyasema haya.
 
Hakuna chanjo ya hiari duniani na haijawahi kutokea. Ni ishu ya muda tu wasiochanjwa watapata vikwazo vingi vitakavolazimu kila mtu achanje.

Ilikua lazima wapate pakuanzia na tayari njia imepatikana. Hakuna mtu atakaekataa ni ishu ya muda tu unless ukubali kupata shida kwenye huduma zingine. We shall all be vaccinated! Kwahiyo mama anavyosema hivyo hakosei ndio lengo.
 
Madaraka matamu hysee huyu bi mkubwa kabadilika kwa muda mchache Sana

Huu wendo wake unatia mashaka, kauli zake zimenebeba maono ya kuzimu japo uso wake umejaa tabasamu ila moyo wake unachuruzika damu
 
Leo kwenye mkutano huko Malawi alipoenda mama yetu raisi wetu amesema lengo ni wananchi wote wachanjwe. Sasa najiuliza ni ndani ya huu mwezi mama alisema chanjo ni hiari anayetaka atachanja na asiyetaka hatachanja.

Ipo hivi kwenye Jambo lolote lile hata liwe la umuhimu kiasi gani ni lazima kuwe na pande mbili, ndio maana unaona Kuna watu wapo wengi tu hawaamini uwepo wa Mungu.

Hivyo hata kama chanjo zingekuwa na faida kiasi gani ni lazima Kuna watu wengi tu wangekataa, sasa hili suala la kusema wananchi wote wachanjwe itawezekana vipi?

Au Kuna mipango ya kuanza kuweka vikwazo kwa wasiochanjwa? Je ile hiari ambayo mmekuwa mkiisema ipo wapi?

Lakini pamoja na yote hayo nina uhakika bado hamtaweza kuchanja watu wote, hata zitumike mbinu za aina gani. Tusubiri muda

#mbowe sio gaidi#
View attachment 1895781
Hilo ni lengo kwenye ndoto zake, ieleweke hivyo
 
Hakuna chanjo ya hiari duniani na haijawahi kutokea. Ni ishu ya muda tu wasiochanjwa watapata vikwazo vingi vitakavolazimu kila mtu achanje.

Ilikua lazima wapate pakuanzia na tayari njia imepatikana. Hakuna mtu atakaekataa ni ishu ya muda tu unless ukubali kupata shida kwenye huduma zingine. We shall all be vaccinated! Kwahiyo mama anavyosema hivyo hakosei ndio lengo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jiongo. Niambie ni watu wangapi wamechanjwa yellow fever kwa lazima? Watu wangapi wamechanjwa TB kwa lazima? Watu wangapi wamechanjwa tetenus kwa lazima? Lazima uwe huna maarifa kabisa.
Hachanjwi mtu hapa!
 
Wewe jiongo. Niambie ni watu wangapi wamechanjwa yellow fever kwa lazima? Watu wangapi wamechanjwa TB kwa lazima? Watu wangapi wamechanjwa tetenus kwa lazima? Lazima uwe huna maarifa kabisa.
Hachanjwi mtu hapa!
Mzee acha kufananisha hayo magonjwa na pandemic. Sasa subiri hali iwe tete kama hutalazimika kuchanja afu uone kama kuna mtu atakupa huduma bila kuchanjwa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa "swahili time" wana uhakika ama wanalitafuta lilowakuta gazeti la UHURU!?
 
Madaraka matamu hysee huyu bi mkubwa kabadilika kwa muda mchache Sana

Huu wendo wake unatia mashaka, kauli zake zimenebeba maono ya kuzimu japo uso wake umejaa tabasamu ila moyo wake unachuruzika damu
Corona ni futa - jeipm 2020
 
Serikali ya hii inaenda kuanguka siku siyo nyingi. Uchumi unashuka tu
 
Back
Top Bottom