#COVID19 Rais Samia: Lengo ni wananchi wote wachanjwe

#COVID19 Rais Samia: Lengo ni wananchi wote wachanjwe

Leo kwenye mkutano huko Malawi alipoenda mama yetu raisi wetu amesema lengo ni wananchi wote wachanjwe. Sasa najiuliza ni ndani ya huu mwezi mama alisema chanjo ni hiari anayetaka atachanja na asiyetaka hatachanja.

Ipo hivi kwenye Jambo lolote lile hata liwe la umuhimu kiasi gani ni lazima kuwe na pande mbili, ndio maana unaona Kuna watu wapo wengi tu hawaamini uwepo wa Mungu.

Hivyo hata kama chanjo zingekuwa na faida kiasi gani ni lazima Kuna watu wengi tu wangekataa, sasa hili suala la kusema wananchi wote wachanjwe itawezekana vipi?

Au Kuna mipango ya kuanza kuweka vikwazo kwa wasiochanjwa? Je ile hiari ambayo mmekuwa mkiisema ipo wapi?

Lakini pamoja na yote hayo nina uhakika bado hamtaweza kuchanja watu wote, hata zitumike mbinu za aina gani. Tusubiri muda

#mbowe sio gaidi#
View attachment 1895781
Lengo ni hilo lakini kasema ni hiyari so anajua hatafika

I would love the country to be Covid or hiv free but I can’t achieve that

hasa ukiwa na mijinga kama askofu Gwajima
 
Mzee acha kufananisha hayo magonjwa na pandemic. Sasa subiri hali iwe tete kama hutalazimika kuchanja afu uone kama kuna mtu atakupa huduma bila kuchanjwa



Sent using Jamii Forums mobile app
Pandemic gani? Nini kinaua zaidi kati ya Malaria, TB, HBP, Diabetes, Cancer, HIV, na Corona?
Yaani ubadilishwe maumbile yako, kuwa kitu kingine ambacho hukijui eti kwa sababau ya huduma? Huduma gani ambayo inathamani kuliko ubinadamu wangu? Hapa ni uamuzi wa mtu anaitwa Esau na Yakobo. Chagua kande ama haki ya mzaliwa wa kwanza. Kipi chneye thamani?
 
Lengo ni hilo lakini kasema ni hiyari so anajua hatafika

I would love the country to be Covid or hiv free but I can’t achieve that

hasa ukiwa na mijinga kama askofu Gwajima

Hivi wewe unaweza kujlilnganisha na Gwajima? Kwa nini usimjibu kisayansi kwahoja zake? Kama una ufahamu japo kidogo, nchi gani ambayo iko free from Covid 19, kwa sababu ya chanjo?
Unajua kinachoendelea sasa hivi na WHO, kuhusu corona baada ya kuona chanjo zimefail?
Kama Gwajima ni mjinga, basi wewe uko chini ya pumbavu.
 
Chanjo unapata Kwa kusaini fomu kama unaenda kufanyiwa upasuaji mkubwa.Na side effects zikitokea hawamo na lazima effects zitakuw za mda mrefu,ili wote tuchanjwe .so after ten yrs may be tuimbe wimbo mmoja.
 
Leo kwenye mkutano huko Malawi alipoenda mama yetu raisi wetu amesema lengo ni wananchi wote wachanjwe. Sasa najiuliza ni ndani ya huu mwezi mama alisema chanjo ni hiari anayetaka atachanja na asiyetaka hatachanja.

Ipo hivi kwenye Jambo lolote lile hata liwe la umuhimu kiasi gani ni lazima kuwe na pande mbili, ndio maana unaona Kuna watu wapo wengi tu hawaamini uwepo wa Mungu.

Hivyo hata kama chanjo zingekuwa na faida kiasi gani ni lazima Kuna watu wengi tu wangekataa, sasa hili suala la kusema wananchi wote wachanjwe itawezekana vipi?

Au Kuna mipango ya kuanza kuweka vikwazo kwa wasiochanjwa? Je ile hiari ambayo mmekuwa mkiisema ipo wapi?

Lakini pamoja na yote hayo nina uhakika bado hamtaweza kuchanja watu wote, hata zitumike mbinu za aina gani. Tusubiri muda

#mbowe sio gaidi#
View attachment 1895781
Huyu sio Mama, ni Gagula, wa kwenye simulizi ya MACHIMBO YA MFALME SULEIMAN
 
Haa😂🤣😃😁😀😄😃😅😃🤣😂
Hawa Wameshindwa Kutoa Vitambulisho Vya Taifa Kwa Kila Mtanzania Mwenye Sifa Leo Tena
Huko Malawi Tamko Ni Kuwa Wote Tuchanjwe
Viongozi Wetu Wajitahidi Kuwaondolea Wananchi Taharuki!!!




Tubaki Kwenye Kutoa Elimu Halafu Wananchi Wataamua Wenyewe Iwapo Chanjo Ama Kusubiri Baadaye. Unapolazimisha Lazima Watu Wahoji





Mpaka Sasa Hivi Tunaona Viongozi Wanarudi Kwa Police & PCCB Kisa Chanjo
 
Chanjo unapata Kwa kusaini fomu kama unaenda kufanyiwa upasuaji mkubwa.Na side effects zikitokea hawamo na lazima effects zitakuw za mda mrefu,ili wote tuchanjwe .so after ten yrs may be tuimbe wimbo mmoja.
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Baghoshaa!!
Mwafaa😀😀😁😁😁😂😂🤣🤣🤣😃😃😃
Jiwe
 
Hivi wewe unaweza kujlilnganisha na Gwajima? Kwa nini usimjibu kisayansi kwahoja zake? Kama una ufahamu japo kidogo, nchi gani ambayo iko free from Covid 19, kwa sababu ya chanjo?
Unajua kinachoendelea sasa hivi na WHO, kuhusu corona baada ya kuona chanjo zimefail?
Kama Gwajima ni mjinga, basi wewe uko chini ya pumbavu.
Hivi wewe unaweza kujlilnganisha na Gwajima? Kwa nini usimjibu kisayansi kwahoja zake? Kama una ufahamu japo kidogo, nchi gani ambayo iko free from Covid 19, kwa sababu ya chanjo?
Unajua kinachoendelea sasa hivi na WHO, kuhusu corona baada ya kuona chanjo zimefail?
Kama Gwajima ni mjinga, basi wewe uko chini ya pumbavu.
SiweZi kujilinganisha na huyo jamaa nehiii

sipigi ramli
Chanjo zimefeli kivipi? Effectiveness our roll out?
 
Hakuna chanjo ya hiari duniani na haijawahi kutokea. Ni ishu ya muda tu wasiochanjwa watapata vikwazo vingi vitakavolazimu kila mtu achanje.

Ilikua lazima wapate pakuanzia na tayari njia imepatikana. Hakuna mtu atakaekataa ni ishu ya muda tu unless ukubali kupata shida kwenye huduma zingine. We shall all be vaccinated! Kwahiyo mama anavyosema hivyo hakosei ndio lengo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha juzi binti yangu kalalamika kuwa amepoteza fedha nyingi kupima corona na kupata certificate wakati akitoka country A kwenda B. Akatamka kuwa kama angalikuwa amechanja hiyo hasara asingelipata. Nikamshauri sasa ni wakati wa kuchanja maana ulaya ni wajanja, wanasema ni hiari wakati utapata vigingi vingi mwisho utapazimika. Tumekubaliana akirudi Country A baada ya matembezi yake Achanje.

Hata nyie vijana mnaosuasua kuchanja, chanjeni wakati chanjo ni bure na bado haijaexpaya la sivyo mtachanjwa maji tu. Hewala yashinda utumwa .
 
Hakuna chanjo ya hiari duniani na haijawahi kutokea. Ni ishu ya muda tu wasiochanjwa watapata vikwazo vingi vitakavolazimu kila mtu achanje.

Ilikua lazima wapate pakuanzia na tayari njia imepatikana. Hakuna mtu atakaekataa ni ishu ya muda tu unless ukubali kupata shida kwenye huduma zingine. We shall all be vaccinated! Kwahiyo mama anavyosema hivyo hakosei ndio lengo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeeh,Yaani serikali iingie gharama ya kutoa vitambulisho vya kielectronic kwa wasiochanja halafu kusiwe na masharti? Ni suala la muda tu watu watajipeleka wenyewe kuchanja.
Kuna watu sio waumini wa Barakoa hata kidogo lakini wakienda baadhi ya maeneo huwa wananywea wanavaa Barakoa.Mahospitalini,Ofisi za Umma nk.Kama Barakoa tu Ina masharti sembuse chanjo?
 
Leo kwenye mkutano huko Malawi alipoenda mama yetu raisi wetu amesema lengo ni wananchi wote wachanjwe. Sasa najiuliza ni ndani ya huu mwezi mama alisema chanjo ni hiari anayetaka atachanja na asiyetaka hatachanja.

Ipo hivi kwenye Jambo lolote lile hata liwe la umuhimu kiasi gani ni lazima kuwe na pande mbili, ndio maana unaona Kuna watu wapo wengi tu hawaamini uwepo wa Mungu.

Hivyo hata kama chanjo zingekuwa na faida kiasi gani ni lazima Kuna watu wengi tu wangekataa, sasa hili suala la kusema wananchi wote wachanjwe itawezekana vipi?

Au Kuna mipango ya kuanza kuweka vikwazo kwa wasiochanjwa? Je ile hiari ambayo mmekuwa mkiisema ipo wapi?

Lakini pamoja na yote hayo nina uhakika bado hamtaweza kuchanja watu wote, hata zitumike mbinu za aina gani. Tusubiri muda

#mbowe sio gaidi#
View attachment 1895781

Correct “Mama yako” Sio Mama Yetu!
 
Umeona eeeh,Yaani serikali iingie gharama ya kutoa vitambulisho vya kielectronic kwa wasiochanja halafu kusiwe na masharti? Ni suala la muda tu watu watajipeleka wenyewe kuchanja.
Kuna watu sio waumini wa Barakoa hata kidogo lakini wakienda baadhi ya maeneo huwa wananywea wanavaa Barakoa.Mahospitalini,Ofisi za Umma nk.Kama Barakoa tu Ina masharti sembuse chanjo?
Ishu muda tu mkuu anaebisha ataelewa na atachanja pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP JPM. Kwa yanayoendelea ilibidi uondoke maana ulikuwa kikwazo tumekumiss sana.
 
Lengo ni watu wetu wote wachanjwe kwa hiari..

Kwani watu wakipewa elimu na kuelewa umuhimu wa chanjo na kukubali kuchanjwa kina shida gani?..

Hata huko USA chanjo ni hiari, lakini Serikali inajitahidi kufanya campaign ili watu wengi waridhie kuchanja kwa hiari..

Kuna wakati tunapaswa kutumia fikra zetu vizuri Watanzania..
 
Back
Top Bottom