johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Vuta subiraLabda ubarozi wa nchi za nje akapumzike,au M/Kiti wa bodi fulani! Lakini ni mawazo yangu tu.
HuongezewaMwenye nacho....
Kuzuiwa kupost mpaka akili zikukae sawaBan ya nini
Hao jamaa wakikudaka wanaweza kukwambia unyee mawingu!! Kuwa na heshma japo kidogoApigwe ubodyguard wa Lowassa au Mrema
Ubarozi nani wa kumpokea kachero hatari huyo [emoji23][emoji23][emoji23] sikumbuki vizuri lakini kuna kipindi aliteuliwa ubarozi wakamkataa baada ya kupitia profile lake, lakini pia umri hauruhusu.Labda ubarozi wa nchi za nje akapumzike,au M/Kiti wa bodi fulani! Lakini ni mawazo yangu tu.
Anaomboleza kilichotokea 170321kila komenti yako ina ukabila ndani yake,hivi una shida gani we jamaa?
Umri ulifikiaKulikuwa na hajagani ya kustaafu kama bado ananguvu.
Wengine wametumwa sio WaTanzania tuwe nao makinikila komenti yako ina ukabila ndani yake,hivi una shida gani we jamaa?
Umri unamruhusu, refer Dr Slaa aliteuliwa akiwa na kama miaka 68. Sema cv yake Mabeyo kwa nchi za ulaya sio rahisi kumkubali.Ubarozi nani wa kumpokea kachero hatari huyo [emoji23][emoji23][emoji23] sikumbuki vizuri lakini kuna kipindi aliteuliwa ubarozi wakamkataa baada ya kupitia profile lake, lakini pia umri hauruhusu.
Labda anaweza akawa DG TISS hata kwa mkopo πππππUbarozi nani wa kumpokea kachero hatari huyo [emoji23][emoji23][emoji23] sikumbuki vizuri lakini kuna kipindi aliteuliwa ubarozi wakamkataa baada ya kupitia profile lake, lakini pia umri hauruhusu.
Wanampokea vizuri sana, kwa nchi za ulaya maana sie hatuna utisho kwa nchi zozote za ulaya, labda kama nchi za Africa mashasirki ndio nongwaUmri unamruhusu, refer Dr Slaa aliteuliwa akiwa na kama miaka 68. Sema cv yake Mabeyo kwa nchi za ulaya sio rahisi kumkubali.