Rais Samia huna kazi inayokutegemea kama kuipapatua Zanzibar kutoka kwa Mkoloni Mweusi kisha waachie zigo lao wahangaike nalo.
Kama unavyosema wanakuzunguuka basi ujue lisemwalo lipo na kama halipo linjiani linakuja.
Hii ni Golden chance na imetokea kama kudra na rehma kwa waZanzibar cha kuifanyia nchi yako pendwa ya Zanzibar ni kuipapatua kisha kuwaachia watwana zigo lao.
Huwawezi na hilo zigo huliwezi litakuelemea na kujazwa lawama,hao aliowaweza ni Magufuli,kwako wanacheka na wewe wanazungumza na wewe vizuri tu,lakini behind ya pazia wako kivyengine kabisa.
Ujue hizi shida hazikuwepo wakati wa Kamanda Magufuli,hazikuwepo sio maji wala umeme ,ila sasa zinaota na kukuwa kama moto wa nyasi na zote unaelemezwa nazo wewe,Yanini ?
Kazi moja tu imalize kisha tawanyika kulia,ipapatue Zanzibar kiaina ,muda ndio huu. WaZanzibari tupate nini tena.
Na ole wenu wabara mkifanya masihara mtakuwa mnazika kisha tunaukwaa Urais ndio njia pekee,mchanga kutoka kaburi la Maalim Seif bado tunao.
Kama unavyosema wanakuzunguuka basi ujue lisemwalo lipo na kama halipo linjiani linakuja.
Hii ni Golden chance na imetokea kama kudra na rehma kwa waZanzibar cha kuifanyia nchi yako pendwa ya Zanzibar ni kuipapatua kisha kuwaachia watwana zigo lao.
Huwawezi na hilo zigo huliwezi litakuelemea na kujazwa lawama,hao aliowaweza ni Magufuli,kwako wanacheka na wewe wanazungumza na wewe vizuri tu,lakini behind ya pazia wako kivyengine kabisa.
Ujue hizi shida hazikuwepo wakati wa Kamanda Magufuli,hazikuwepo sio maji wala umeme ,ila sasa zinaota na kukuwa kama moto wa nyasi na zote unaelemezwa nazo wewe,Yanini ?
Kazi moja tu imalize kisha tawanyika kulia,ipapatue Zanzibar kiaina ,muda ndio huu. WaZanzibari tupate nini tena.
Na ole wenu wabara mkifanya masihara mtakuwa mnazika kisha tunaukwaa Urais ndio njia pekee,mchanga kutoka kaburi la Maalim Seif bado tunao.