Rais Samia maliza kazi ipapatue Zanzibar kwenye makucha ya mkoloni mweusi

Wee pimbi tu. Kazi yenu kudharau wabara eti nyie wastaarabu mumeendelea mnajua kuchamba mavi kwa maji😂.
Wala wabara hawajagawanyika ni fitna tu na uchonganishi wa adui wa mwendo wa kimagufuli, au tuseme fisadi na wabinafsi.
Wala hakuna sukumagang ni ubunifu tu wa mafisadi. Wabara tuko na umoja. Hofu ilikua kwenu kwa upemba na uunguja wenu. Shukuruni mungu muungano umewaokoa vinginevyo mngeuana kama ma el shabaab au kule yemen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…