Mama keshawajulia mburula wa Sukuma gang 😆😆Leo Rais Samia yuko mkoani Geita na ameendelea kusisitiza wembe ni uleule kama awamu iliyopita.
=======
Rais Samia: Awamu iliyopita nilikuwa makamu wa Rais chini ya kaka yangu marehemu John Pombe Magufuli, alinifundisha mambo mengi sana, niliisoma dhamira yake vizuri sana jinsi ya kupeleka nchi hii. Niwahakikishie dhamira ile tunakwenda nayo.
Serikali yetu ya chama cha mapinduzi yeyote anayekaa kuongoza Serikali lengo ni kuhudumia wananchi na kupeleka maendeleo.
Alipokua nje ya nchi alimkana,daah meko anapigwa matukio hukohuko kaburini,mwingine alisema alikua na file LUTINDI HOSPLeo Rais Samia yuko mkoani Geita na ameendelea kusisitiza wembe ni uleule kama awamu iliyopita.
=======
Rais Samia: Awamu iliyopita nilikuwa makamu wa Rais chini ya kaka yangu marehemu John Pombe Magufuli, alinifundisha mambo mengi sana, niliisoma dhamira yake vizuri sana jinsi ya kupeleka nchi hii. Niwahakikishie dhamira ile tunakwenda nayo.
Serikali yetu ya chama cha mapinduzi yeyote anayekaa kuongoza Serikali lengo ni kuhudumia wananchi na kupeleka maendeleo.