Rais Samia: Masauni umefanya kazi nzuri kwenye Wizara ya Mambo ya Ndani. Una CV nzuri japo umekaa kwa muda mfupi

Rais Samia: Masauni umefanya kazi nzuri kwenye Wizara ya Mambo ya Ndani. Una CV nzuri japo umekaa kwa muda mfupi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Akiwa anaapisha Mawaziri wapya siku ya leo, Rais Samia amemsifia aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa kusema kuwa amefanya kazi katika Wizara hiyo.

Samia amedokeza kuwa pamoja na kukaa ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa muda mfupi lakini MasauI amefanya kazi kubwa.

======================

Ikumbukwe kuwa Masauni alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Ndani katika kipindi ambacho kumekuwa na matukio mengi ya utekaji yanayoendelea nchini ikiwemo tukio la Ali Kibao ambalo halijapatiwa majibu hadi sasa.

Kutekwa kwa Sativa, Abdul Nondo, Aisha Machano na wengineo wengi wote ambao matukio yao hayajapatiwa ufumbuzi
 
Wakuu,

Akiwa anaapisha Mawaziri wapya siku ya leo, Rais Samia amemsifia aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa kusema kuwa amefanya kazi katika Wizara hiyo.

Samia amedokeza kuwa pamoja na kukaa ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa muda mfupi lakini MasauI amefanya kazi kubwa.

================================

Ikumbukwe kuwa Masauni alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Ndani katika kipindi ambacho kumekuwa na matukio mengi ya utekaji yanayoendelea nchini ikiwemo tukio la Ali Kibao ambalo halijapatiwa majibu hadi sasa.

Kutekwa kwa Sativa, Abdul Nondo, Aisha Machano na wengineo wengi wote ambao matukio yao hayajapatiwa ufumbuzi
Huu sasa ndio unafiki wa kiwango cha lami
 
Wakuu,

Akiwa anaapisha Mawaziri wapya siku ya leo, Rais Samia amemsifia aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa kusema kuwa amefanya kazi katika Wizara hiyo.

Samia amedokeza kuwa pamoja na kukaa ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa muda mfupi lakini MasauI amefanya kazi kubwa.

================================

Ikumbukwe kuwa Masauni alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Ndani katika kipindi ambacho kumekuwa na matukio mengi ya utekaji yanayoendelea nchini ikiwemo tukio la Ali Kibao ambalo halijapatiwa majibu hadi sasa.

Kutekwa kwa Sativa, Abdul Nondo, Aisha Machano na wengineo wengi wote ambao matukio yao hayajapatiwa ufumbuzi
Ni sahihi kazi nzuri ya kuteka na kuua watu
 
Wakuu,

Akiwa anaapisha Mawaziri wapya siku ya leo, Rais Samia amemsifia aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa kusema kuwa amefanya kazi katika Wizara hiyo.

Samia amedokeza kuwa pamoja na kukaa ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa muda mfupi lakini MasauI amefanya kazi kubwa.

================================

Ikumbukwe kuwa Masauni alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Ndani katika kipindi ambacho kumekuwa na matukio mengi ya utekaji yanayoendelea nchini ikiwemo tukio la Ali Kibao ambalo halijapatiwa majibu hadi sasa.

Kutekwa kwa Sativa, Abdul Nondo, Aisha Machano na wengineo wengi wote ambao matukio yao hayajapatiwa ufumbuzi
Kuna shida hapa si bure.
Na tafsiri yake ni ipi kwamba Muungano ukaimarishwe Zanzibar, kwamba Tanganyika ni Mapoyoyo wasiojielewa hivyowaziri inabidi akashinde zaidi Zanzibar0? Au mimi ndiye sielewi
 
Apewe uwaziri bwana Kangi Lugola, alisema wananchi hatutakiwi kuogopa majambazi, mabasi yasafiri usiku sio kuogopa kuwa majambazi yatateka mabasi. Japo alikuwa ana kakiburi lakini alifaa sana.

Aliagiza dhamana polisi zitolewe mpaka jumapili na trafiki waache kujificha au kupiga picha na kutumiana kwenye simu
 
Back
Top Bottom