Rais Samia mchuguze Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro. Tunapigwa pesa!

Rais Samia mchuguze Waziri wa Maliasili na Utalii pamoja na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro. Tunapigwa pesa!

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Kwa heshima na taadhima, Mhe Rais kuna kila dalili za upigaji katika Mamlaka hii. Kuna tetesi za chini kwa chini kuwa NCAA imewalipa waandishi wa habari pesa nyingi wakiongozwa na Maulid Kitenge chini ya Uratibu wa mmiliki wa gazeti la Jambo la habari ndugu Mchange. Nguvu wanayotumia ni kubwa sana waandishi hawa ili kuhalalisha maamuzi ya watu wachache kutaka kuihamisha Jamii ya Wamasai ndani ya hifadhi hiyo.

Hili suala Waziri analijua fika yupo kimya na pia kuna tetesi kuwa ametoa baraka zote kwa shughuli hii kufanyika. Kiukweli kabisa inaonekana wamelipwa pesa nyingi kwa kazi hii, kama hivyo hii bajeti imetoka wapi na kwa ridhaa ya nani? Mhe Rais mchunguze Waziri huyu na watendaji wote wa juu Wizara akiwemo Karibu mkuu na watendaji wa Mamlaka.

Haiwezekani na haitowezekana kumuondoa Mmasai kwenye eneo lake la asili, zaidi kinachotafutwa ni ugomvi na migogoro isiyoisha baina ya serikali na jamii ya Wamasai Waziri na watendaji wake wanataka kuamsha migogoro hii hatutofika. Maana ya hifadhi ya Ngorongoro ni pamoja na uwepo wa jamii ya Wamasai na mifugo yao na siyo wanyama pori tu.

Wizara hii ina tatizo Mama imulike kwa jicho kali, kuna uwezekano mkubwa wa pesa za umma kuliwa hapa.
 
Hameni bana naona mmekuja wengi kweli wamasai hameni kwanza mmejenga nini mbugani? Mna mashamba kule? Ishu so kuswaga ng'ombe tu na kubeba mashuka na marungu yenu mnasepa?
 
Hameni bana naona mmekuja wengi kweli wamasai hameni kwanza mmejenga nini mbugani? Mna mashamba kule? Ishu so kuswaga ng'ombe tu na kubeba mashuka na marungu yenu mnasepa?
Ngorongiro sio national park , ni conservation area. Moja ya sababu kuwa hivyo ni muingiliano wa binadamu na wanyama
 
wakike au wakiume?
Dume, jamaa alikutana na muitaliano akajenga urafiki nae Sasa wamasai si wanajifanyaga culture ili wapate vibibi vya kizungu?

Yule muitaliano akamwambia njeree amtafutie njemba zinazogongwa maana waitaliano ndio mambo yao alikuwa anataka amfokoe mtu.

Masai akamuuliza unampa bei gani jamaa akamwambia dola 300.

Masai akaskuti akamwambia so ampe yeye hizo hela halafu akampasue? Muitaliano akaona poa sana kumfokoa njeree.

Aisee alimpiga paipu hatari njeree alipiga ujinga watu wakajaa, kuuliza vipi mzungu akawaambia jamaa walikubaliana akamfokoe basi pale hotelini ikawa watu wamejua.

Njeree akaona aibu maana wamasai wenzie wameshajua wote wakawa wanamdharau, jamaa akajipiga kamba.
 
Ngorongiro sio national park , ni conservation area. Moja ya sababu kuwa hivyo ni muingiliano wa binadamu na wanyama
Kwa hiyo na nyie manjeree mnataka tuwaconserve Kama mifugo sio? Mnakuwa mmejikuta pundamilia au nguruwe pori sio? Basi haina noma
 
nan ananufaika na kuwahamisha wamasai mpaka atoe fedha zote hizo? Serikali imeamua kuwahamisha
 
Ondoa upuuzi wako. Hatuwezi kuacha wamasai saba na mashuka yao waharibu hifadhi ya taifa zima. Wauze ngombe wanunue suti waje mjini tucheze amapiano
 
Ngorongiro sio national park , ni conservation area. Moja ya sababu kuwa hivyo ni muingiliano wa binadamu na wanyama
Masai waharibufu...this time hatucheki na kima. Waondoke iwe hifadhi nukta
 
Back
Top Bottom