Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moshi. Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne imeahirishwa hadi Julai 4, 2022 kutokana na upelelezi kutokamilika.
Sabaya na wenzake wanne walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi leo Juni 20,2022 kwa ajili ya kesi yao kutajwa.
Akiomba kuahirishwa kwa kesi hiyo wakili upande wa mashtaka, Verediana Mlenza ameieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi bado haujakamilika na kwamba kibali kutoka ofisi ya DPP na hati ya kuipa mahakama hiyo mamlaka ya kuendelea na kesi hiyo bado hakijatolewa.
Kabla ya kuombwa kwa ahirisho hilo wakili wa upande wa utetezi, Hellen Mahuna aliutaka upande wa mashtaka kuwa makini kwa sababu mara ya kwanza washtakiwa hao walipofikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka yao walieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi umeshakamilika.
"Hatuna pingazmizi na ahirisho, upande wa mashitaka mara ya kwanza kesi ilipoletwa katika mahakama hii walieleza kuwa upelelezi umeshakamlika, mara ya pili wakaja hapa na kutuambia upelelezi bado haujakamilika sasa ni mwezi, tunaomba upande wa jamhuri wawe "serious", kwa sababu washtakiwa wanateseka," amesema.
Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo, Salome Mshasha ameiahirisha kesi hiyo kwa muda wa siku 14 na kuutaka upande wa jamhuri kuja na hitimisho wakati kesi itakapokuja tena Julai 4, 2022.
Amekata rufaa tena kwa kodi za wananchi
Kama Kweka alibakwa na Sabaya basi atumie hela zake kukata rufaa na siyo kodi za wananchiMbona husemei kodi zinavyotumika kuwalipa mishahara na posho wabunge wasiokuwa na chama? Wacheni Mahakama ifanye kazi yake
Hayo ni mambo ya kiufundi Rais hawezi kuingilia, wacha kihemuhemu kama kuku mtetea anayetaka kupandwa; Nyau we!Moshi. Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne imeahirishwa hadi Julai 4, 2022 kutokana na upelelezi kutokamilika.
Sabaya na wenzake wanne walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi leo Juni 20,2022 kwa ajili ya kesi yao kutajwa.
Akiomba kuahirishwa kwa kesi hiyo wakili upande wa mashtaka, Verediana Mlenza ameieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi bado haujakamilika na kwamba kibali kutoka ofisi ya DPP na hati ya kuipa mahakama hiyo mamlaka ya kuendelea na kesi hiyo bado hakijatolewa.
Kabla ya kuombwa kwa ahirisho hilo wakili wa upande wa utetezi, Hellen Mahuna aliutaka upande wa mashtaka kuwa makini kwa sababu mara ya kwanza washtakiwa hao walipofikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka yao walieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi umeshakamilika.
"Hatuna pingazmizi na ahirisho, upande wa mashitaka mara ya kwanza kesi ilipoletwa katika mahakama hii walieleza kuwa upelelezi umeshakamlika, mara ya pili wakaja hapa na kutuambia upelelezi bado haujakamilika sasa ni mwezi, tunaomba upande wa jamhuri wawe "serious", kwa sababu washtakiwa wanateseka," amesema.
Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo, Salome Mshasha ameiahirisha kesi hiyo kwa muda wa siku 14 na kuutaka upande wa jamhuri kuja na hitimisho wakati kesi itakapokuja tena Julai 4, 2022.
Hizo zilikuwa ni movie zilizotengenezwa na sabaya kwa kushirikiana na ninyi majambazi wenzake ndio maana hakuna hata mmoja kati ya hao uliowataja amewahi kufikishwa mahakamaniMajambawazi ya Hai yanahangaika kumtesa Sabaya sababu aliingilia na kuivuruga mifumo yao yote ya Ujambazi.
Tuliona viwanda feki vya konyagi.
Tuliona Magenge ya kutengeneza Pesa bandia.
Tuliona waporaji wa viwanja kutoka kwa vikongwe na taasisi za kidini.
Tuliona wakwepa kodi wakijaza bidhaa kwenye godowns na kusuply usiku.
Hata hii Q-Net inayosumbua sasa hivi kwa utapeli.
Tuliiona kwa mara ya kwanza Hai.
Pale Sabaya alipoipiga marufuku kuingia na kutapeli watu wilayani kwake.
Tatizo la Kweka ni kutaka kumridhisha MBOWE baba mkwe wake.
Na wewe mbowe alikugaidia mara ngapi nenda kashtakiAlikubaka mara ngapi? Na kwa nini hujitokezi mahakamani kueleza
Mliofanyiwa ugaidi na mbowe jitokezeni mahakamaniMliobakwa na Sabaya jitokezeni mahakamani
Unatumia nguvu kubwa sana kumtetea jambazi ila ni kama unarusha ngumi hewaniHuyu kweka tangu ateuliwe kazi yake imekuwa ni kushinda Arusha na Moshi akikusanya hongo za wakwepa kodi ili amkomoe Sabaya. Sasa hivi ameamua kutumia kodi za watanzani kukata rufaa tena yani nchi nzima kesi aliyoiona ni moja tu, atuambie kama yeye ndiye aliyebakwa na kuibiwa na Sabaya ili tupime matumizi ya kodi zetu.
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.
Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Sio huyo tuuu, Kuna baadhu ya Wakuu wa Wilaya ni shida. Nguvu nyingi, busara na akili kidogoMoshi. Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne imeahirishwa hadi Julai 4, 2022 kutokana na upelelezi kutokamilika.
Sabaya na wenzake wanne walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi leo Juni 20,2022 kwa ajili ya kesi yao kutajwa.
Akiomba kuahirishwa kwa kesi hiyo wakili upande wa mashtaka, Verediana Mlenza ameieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi bado haujakamilika na kwamba kibali kutoka ofisi ya DPP na hati ya kuipa mahakama hiyo mamlaka ya kuendelea na kesi hiyo bado hakijatolewa.
Kabla ya kuombwa kwa ahirisho hilo wakili wa upande wa utetezi, Hellen Mahuna aliutaka upande wa mashtaka kuwa makini kwa sababu mara ya kwanza washtakiwa hao walipofikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka yao walieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi umeshakamilika.
"Hatuna pingazmizi na ahirisho, upande wa mashitaka mara ya kwanza kesi ilipoletwa katika mahakama hii walieleza kuwa upelelezi umeshakamlika, mara ya pili wakaja hapa na kutuambia upelelezi bado haujakamilika sasa ni mwezi, tunaomba upande wa jamhuri wawe "serious", kwa sababu washtakiwa wanateseka," amesema.
Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo, Salome Mshasha ameiahirisha kesi hiyo kwa muda wa siku 14 na kuutaka upande wa jamhuri kuja na hitimisho wakati kesi itakapokuja tena Julai 4, 2022.
Hebu fafanua Wilaya ya Hai inawezaje kuwa na Mapato hadi iwe ya 4 kitaifa? Kwamba imeizidi Ilala, Temeke, Kinodnoni na Mafinga au Kahama?Ni kama tu Sabaya alivyoikuta wilaya ya Hai ikiwa ya 144
Akili zako zipo mkunduni,leta Ushahidi wa Sabaya kuikuta Hai ya 144 kimapato kisha yeye akaipandisha mpaka ya 4 kimapato,kwa biashara gani iliyopo Hai??hivi Hai unakufahamu umefika physically au unaandika UHARO tu JF??mijitu mingine kama wewe mnafaa muwe ndani Karanga na hilo Jambazi lenzenu,na naona linazidi kuwa dogo tu ***** Jela si mchezo,ule ubabe wote na Bata zote hazipo sasa hiviRais Samia tengua pia uteuzi wa Dpp Kweka, tangu umteue ana kazi ya kushinda Moshi na Arusha kutengeneza kesi feki za kumshitaki Sabaya.
Pia meneja wa TRA mkoa wa Kigoma bwana Gabriel Mwangosi amesimamishwa kazi na kamishina mkuu wa TRA bwana Alphayo Kidata baada ya kupandisha ushuru wa forodha mkoani humo kutoka millioni 15 kwa mwezi hadi millioni 300 kwa mwezi!
Alichokifanya bwana Mwangosi alipofika Kigoma ni kuziba mianya yote ya upigaji na kuwaelekeza wafanyabiashara wote kulipa mapato halali TRA na kupata risit halali matokeo yake mapato yakapanda maradufu kitendo ambacho kiliwakera wakubwa ikiwemo wafanyabiashara wakubwa na kuamua kumzushia zengwe na hatimaye amesimamishwa kazi na mapato ya forodha mkoani humo yameshuka tena na kuwa vilevile millioni 15 kwa mwezi!.
Ni kama tu Sabaya alivyoikuta wilaya ya Hai ikiwa ya 144 kwenye mapato na kuipandisha mpaka ikawa ya nne kitaifa lakini akaishia kuzushiwa zengwe na kupelekwa mahakamani. Jambo hilo la wazalendo kutafutwa kwa tochi na kuzushiwa mazengwe limemkera mbunge Tabasamu na kukataa kuomba radhi kwenye mwongozo wa waziri Simbachawene.
Tumia basi hata hizo akili zako kisodaAkili zako zipo mkunduni,leta Ushahidi wa Sabaya kuikuta Hai ya 144 kimapato kisha yeye akaipandisha mpaka ya 4 kimapato,kwa biashara gani iliyopo Hai??hivi Hai unakufahamu umefika physically au unaandika UHARO tu JF??mijitu mingine kama wewe mnafaa muwe ndani Karanga na hilo Jambazi lenzenu,na naona linazidi kuwa dogo tu ***** Jela si mchezo,ule ubabe wote na Bata zote hazipo sasa hivi