Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Kwani si wawindaji! Shida iko wapi na wakati wana vibali vya uwindaji? Au sheria zinasemaje, wanawinda wanyama gani? Yale mabucha ya nyama poli yako wapi ili na sisi tufaidi mema ya nchi, kwa sasa ukiwa sungura kesi inakuhusu
 
Shamba la bibi halina mlinzi!
 
Sasa kaama goli liko wazi ni vipi mtu huyo kakamatwa!? Ukiwa mkosoaji kosoa kwa usawa,hoja yako ingekuwa na nguvu ikiwa mtu huyo wa kilo 3K asingekamatwa

Yes amekamatwa, kukamatwa kuna mambo mengi.. 3tons za madawa ni kiasi kikubwa sana, unafikiri ujasiri unatoka wapi wakuwanazo kama sio kuna loop hole.

Inawezekana walishindwa kukubaliana mahala wakachomeshwa, inawezekana walidhulumiana mahala wakachomeshana.

Tanzania hakuna shamba la Heroine, lazima uwe imported ulipitaje mpaka ukaingia?, fahamu pia watanzania au Tanzania hakuna wateja wengi maana yake ulikuwa unapitishwa, kwanini walichagua hii njia?
 
Sasa kaama goli liko wazi ni vipi mtu huyo kakamatwa!? Ukiwa mkosoaji kosoa kwa usawa,hoja yako ingekuwa na nguvu ikiwa mtu huyo wa kilo 3K asingekamatwa
Nani kasema kakamatwa!!

Mtoa taarifa si kakataa kusema aliyemkamata Jina lake nani. Sasa wewe una hakika gani kama Kuna mtu kweli kakamatwa??
 
Damu ya mamba haipotei bure, lazima itawarudia hao wauaji.
 

View: https://www.instagram.com/reel/C1XC1YKMiHm/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Mimi ni Anti Trophy Hunting kwanini tusipige marufuku kama Nchi nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…