Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi

Baada ya TLS mbili oga zilizotangulia, nina imani na Mwabukusi, TLS hii ya sasa ni TLS moto!, tutampelekea moto wa haki, hadi huu ubatili wa Katiba na Sheria batili ziondoshwe.
Hongera Sana Wakili Boniface Mwabukusi
P
 
Baada ya TLS mbili oga zilizotangulia, nina imani na Mwabukusi, TLS hii ya sasa ni TLS moto!, tutampelekea moto wa haki, hadi huu ubatili wa Katiba na Sheria batili ziondoshwe.
Hongera Sana Wakili Boniface Mwabukusi
P
CCM huwa wanataka TLS wapeleke mapendekezo halafu " yataangaliwa", ndicho kitafanyika. wataambiwa wapeleke mapendekezo ya sheria zinazohitaji kurekebishwa baada ya hapo ni same old stuff.
 
Wanabodi,
Nimekumbuka enzi zangu za kipindi cha Kiti Moto, mwisho wa kipindi tulikuwa tunataja anayefuata na kuweka heading tutamuuliza nini, kuna watu walikuwa wanaingia mitini, wanakula kona kwa kuogopa kukalia Kiti Moto.

Hivyo usikute ni bandiko hili, limesababisha .... naomba nisiendelee...

Mchana mwema.

P
 
Mwabukusi,mgeni akija piga spana, ni ushindi wako ndio umewafanya wachanganyikiwe na kuanza kuonea Vijana wa Mbeya na Viongozi wa CHADEMA.
 
HBD Rais Samia!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…