Rais Samia Mgeni Rasmi Tamasha la Kitaifa la Utamaduni Songea

Rais Samia Mgeni Rasmi Tamasha la Kitaifa la Utamaduni Songea

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi chetu Samia Suluhu Hasssan, Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Tamasha la Kitaifa la Utamaduni litakalofanyika Songea.

Tamasha la Tatu la Kitaifa la Utamaduni linatarajiwa kufanyika katika Mji wa Songea, mkoani Ruvuma, kuanzia tarehe 20 hadi 23 Septemba 2024. Lengo kuu la tamasha hili ni kuwakumbusha Watanzania kuhusu umuhimu wa utamaduni wetu na kuuenzi.

Tamasha hilo la siku nne litafunguliwa rasmi na Waziri wa Utamaduni, Sanaa, na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro, huku kilele cha tamasha hilo kikitarajiwa kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kauli mbiu ya tamasha hilo mwaka huu ni “Utamaduni Wetu ni Utu Wetu, Tuuenzi na Kuuendeleza, Kazi Iendelee”, ikisisitiza umuhimu wa kulinda na kuendeleza tamaduni za Kitanzania.

Soma Pia: Magu, Mwanza: Rais Samia ashiriki Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi za Tanzania, atawazwa kuwa Chifu wa Machifu



Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili..
 
Bi kizimkazo bwana, Kazi zake kubwa mbili tu kuteua, kusafiri! Kutulia ikulu kusoma mafaili aaaaah! Kusikiliza wananchi wake aaaaah!
 
Njoo Raisi Samia, ila faham mkoa wa Ruvuma hali ya maisha ipo vibya sana, Zao la mahindi limekuwa kama laana, mahindi hayauziki, mtaani hakuna pesa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi chetu Samia Suluhu Hasssan, Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Tamasha la Kitaifa la Utamaduni litakalofanyika Songea.

Tamasha la Tatu la Kitaifa la Utamaduni linatarajiwa kufanyika katika Mji wa Songea, mkoani Ruvuma, kuanzia tarehe 20 hadi 23 Septemba 2024. Lengo kuu la tamasha hili ni kuwakumbusha Watanzania kuhusu umuhimu wa utamaduni wetu na kuuenzi.

Tamasha hilo la siku nne litafunguliwa rasmi na Waziri wa Utamaduni, Sanaa, na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro, huku kilele cha tamasha hilo kikitarajiwa kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kauli mbiu ya tamasha hilo mwaka huu ni “Utamaduni Wetu ni Utu Wetu, Tuuenzi na Kuuendeleza, Kazi Iendelee”, ikisisitiza umuhimu wa kulinda na kuendeleza tamaduni za Kitanzania.

Soma Pia: Magu, Mwanza: Rais Samia ashiriki Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi za Tanzania, atawazwa kuwa Chifu wa Machifu


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili..
Ndiyo vitu vyake anavyopenda. Pamoja na umaskini wetu huu mara ya mwisho alipata muda wa kuspend wiki nzima kwenye tamasha la kizimkazi. Mswahili huwa hajui time is money
 
Ndiyo vitu vyake anavyopenda. Pamoja na umaskini wetu huu mara ya mwisho alipata muda wa kuspend wiki nzima kwenye tamasha la kizimkazi. Mswahili huwa hajui time is money
Umaskini wako utaondolewa na juhudi za mikono yako kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa.kazi ni kipimo cha utu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi chetu Samia Suluhu Hasssan, Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Tamasha la Kitaifa la Utamaduni litakalofanyika Songea.

Tamasha la Tatu la Kitaifa la Utamaduni linatarajiwa kufanyika katika Mji wa Songea, mkoani Ruvuma, kuanzia tarehe 20 hadi 23 Septemba 2024. Lengo kuu la tamasha hili ni kuwakumbusha Watanzania kuhusu umuhimu wa utamaduni wetu na kuuenzi.

Tamasha hilo la siku nne litafunguliwa rasmi na Waziri wa Utamaduni, Sanaa, na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro, huku kilele cha tamasha hilo kikitarajiwa kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kauli mbiu ya tamasha hilo mwaka huu ni “Utamaduni Wetu ni Utu Wetu, Tuuenzi na Kuuendeleza, Kazi Iendelee”, ikisisitiza umuhimu wa kulinda na kuendeleza tamaduni za Kitanzania.

Soma Pia: Magu, Mwanza: Rais Samia ashiriki Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi za Tanzania, atawazwa kuwa Chifu wa Machifu


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili..
Vua chupi haraka akuweke nyuma mpipi. Jinga namba moja la nchini. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Back
Top Bottom