Rais Samia Mgeni Rasmi Tamasha la Kitaifa la Utamaduni Songea

utamaduni ni miongoni mwa tunu za taifa na utambulisho wa utaifa wetu,

kila la kheri Mh.Dr.Samia Suluhu Hassan, Rais na kipenzi cha waTanzania wote 👊💪
 
Imeandikwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Mhe.Rais Samia.
Siku ya tarehe 23 septemba 2024 mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atashiriki kujionea tamasha la kitaifa la utamaduni mkoani Ruvuma.
Tuenzi utamaduni wa mtanzania ambao mara zote unahusu amani kazi na furaha.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Ahsante

Luhuwiko tulimpokea Baba Mtakatifu Papa Yohane Paul I I

Songea imebarikiwa sana

Wewe ndiwe Petro na Juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa langu! 😄🌹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…