Rais Samia: Mimi mfanyakazi Namba 1 sikupata nyongeza ya Mshahara

Rais Samia: Mimi mfanyakazi Namba 1 sikupata nyongeza ya Mshahara

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1682939408952.png


Akizungumza kutoka katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi), #RaisSamia amesema ongezeko la 23% la Mshahara lililofanyika mwaka 2022 halikuwagusa Wafanyakazi wote akiwemo yeye.

Amesema lengo la nyongeza hiyo ilikuwa kuwainua Wafanyakazi wa Kima cha Chini huku ikiongeza Posho kwa Wafanyakazi wenye Mishahara mikubwa ambao hawakufaidika na nyongeza ya 23%.

Aidha, ameongeza kuwa baadhi ya Taasisi hazikuweza kulipa Nyongeza na Posho hizo kutokana na kuwa Bajeti zao zilikuwa zimeshapitishwa, hivyo malipo hayo yatafanyika mwaka huu (2023).
 
Aogope Mungu baasi mazaaa
Posho yake kiasi Gani!?
Mshahara wake wake si wengine tunaend kukopa bank
Daahh!!!!subhaana lllah
Ila "Kila neema aliyopewa mwanadamu ataulizwa "
Kuna kaburi haya masiku ni machache sana
 
Aogope Mungu baasi mazaaa
Posho yake kiasi Gani!?
Mshahara wake wake si wengine tunaend kukopa bank
Daahh!!!!subhaana lllah
Ila "Kila neema aliyopewa mwanadamu ataulizwa "
Kuna kaburi haya masiku ni machache sana
umeongea kwa ukweli na kwa uchungu sana
 
Aogope Mungu baasi mazaaa
Posho yake kiasi Gani!?
Mshahara wake wake si wengine tunaend kukopa bank
Daahh!!!!subhaana lllah
Ila "Kila neema aliyopewa mwanadamu ataulizwa "
Kuna kaburi haya masiku ni machache sana
Mkuu hutakuja kuona kiongoz yyt hata mbunge akiogopa mungu au kaburi, never.

Kwa kiasi kikubwa Sana Kuna ongezeko la ujenzi wa majumba makubwa sehem mbalimbali za nchi. Jambo zuri ..lakin wanaohusika kula maisha hayo ni viongoz , ndugu zao na matajiri TU.

Hata ajira sehem nyeti ni ndgu na mabila Yao pekee. Sisi pangu pakavu tutaonana baadae.

Sisi ni wale kundi la kati kuelekea chini. Mbaya zaidi ni kundi lenye elimu ya kutoshaa ngazi ya shahada nk. Kundi hili linatakiwa likae kimya. Hawa ni madaktar, walimu, wanasheria, maafisa kilimo na kadhalika
 
Mkuu hutakuja kuona kiongoz yyt hata mbunge akiogopa mungu au kaburi, never.

Kwa kiasi kikubwa Sana Kuna ongezeko la ujenzi wa majumba makubwa sehem mbalimbali za nchi. Jambo zuri ..lakin wanaohusika kula maisha hayo ni viongoz , ndugu zao na matajiri TU.

Hata ajira sehem nyeti ni ndgu na mabila Yao pekee. Sisi pangu pakavu tutaonana baadae.

Sisi ni wale kundi la kati kuelekea chini. Mbaya zaidi ni kundi lenye elimu ya kutoshaa ngazi ya shahada nk. Kundi hili linatakiwa likae kimya. Hawa ni madaktar, walimu, wanasheria, maafisa kilimo na kadhalika
Acha kabisaa inasikitisha sana
 
View attachment 2606052
Akizungumza kutoka katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi), #RaisSamia amesema ongezeko la 23% la Mshahara lililofanyika mwaka 2022 halikuwagusa Wafanyakazi wote akiwemo yeye.

Amesema lengo la nyongeza hiyo ilikuwa kuwainua Wafanyakazi wa Kima cha Chini huku ikiongeza Posho kwa Wafanyakazi wenye Mishahara mikubwa ambao hawakufaidika na nyongeza ya 23%.

Aidha, ameongeza kuwa baadhi ya Taasisi hazikuweza kulipa Nyongeza na Posho hizo kutokana na kuwa Bajeti zao zilikuwa zimeshapitishwa, hivyo malipo hayo yatafanyika mwaka huu (2023).
Dah
Rais anatamani nyongeza ya mshahara doh

Nimepunguza ukali wa maneno
 
Aogope Mungu baasi mazaaa
Posho yake kiasi Gani!?
Mshahara wake wake si wengine tunaend kukopa bank
Daahh!!!!subhaana lllah
Ila "Kila neema aliyopewa mwanadamu ataulizwa "
Kuna kaburi haya masiku ni machache sana
Amesema mpewe semina ya kutumia vishkwambi, inaonesha walimu hamna smartphone
 
View attachment 2606052
Akizungumza kutoka katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi), #RaisSamia amesema ongezeko la 23% la Mshahara lililofanyika mwaka 2022 halikuwagusa Wafanyakazi wote akiwemo yeye.

Amesema lengo la nyongeza hiyo ilikuwa kuwainua Wafanyakazi wa Kima cha Chini huku ikiongeza Posho kwa Wafanyakazi wenye Mishahara mikubwa ambao hawakufaidika na nyongeza ya 23%.

Aidha, ameongeza kuwa baadhi ya Taasisi hazikuweza kulipa Nyongeza na Posho hizo kutokana na kuwa Bajeti zao zilikuwa zimeshapitishwa, hivyo malipo hayo yatafanyika mwaka huu (2023).
Mungu amewanyang'anyq ndimi zao. Wanaongea kwa kujimaliza wenyewe. Wanajifitinisha kupitia kauli zao. Nilisema hapa.
 
View attachment 2606052
Akizungumza kutoka katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi), #RaisSamia amesema ongezeko la 23% la Mshahara lililofanyika mwaka 2022 halikuwagusa Wafanyakazi wote akiwemo yeye.

Amesema lengo la nyongeza hiyo ilikuwa kuwainua Wafanyakazi wa Kima cha Chini huku ikiongeza Posho kwa Wafanyakazi wenye Mishahara mikubwa ambao hawakufaidika na nyongeza ya 23%.

Aidha, ameongeza kuwa baadhi ya Taasisi hazikuweza kulipa Nyongeza na Posho hizo kutokana na kuwa Bajeti zao zilikuwa zimeshapitishwa, hivyo malipo hayo yatafanyika mwaka huu (2023).

Ingependeza zaidi angeonyesha salary slip yake,tofauti na hapo ni uongo kama uongo mwingine.
 
Back
Top Bottom