Niko busy kwa sasa, siwezi kuongea na mashoga km wewe. Kwanza nitaweza wapi wakati kuchamba ndiyo vitu mnafundishana kila dakika kwenye hizo saluni zenu za machoko!We hanithi tafuta mabwana wakushugulikie
MmmhAmemweka naibu waziri wa afya mzanzibar wakati sio wizara ya kimuungano
ConfusionLeo kasema yeye ni Mtanzania
Hajielewi, analazimisha UtanzaniaConfusion
Mimi pia ni muarusha na rafiki yangu ni mtanga na nina shemeji yangu mzanzibari !! Kwani shida ipo wapi ??!!Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.
Samia umekosea sana!
====
Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...
Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.
Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Tanzania Visiwani hakuna makabila !Confusion
HakunagaZanzibar hakuna makabila eti?
Kabila/dini lao lipo ni uislamuTanzania Visiwani hakuna makabila !
Ni muunguja au mpemba !
Huko Mwanza jana amegeuka yeye ni MtanganyikaRais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kwakweli !! 😅tuwapeleke watoto wetu shule
Hata Nyerere alijibainisha wazi wazi kuwa yeye ni MZANAKI. Tabu iko wapi?Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"
Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.
Samia umekosea sana!
====
Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...
Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.
Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Umenena !! Tabu iko kwenye thinking capacity’s !!Hata Nyerere alijibainisha wazi wazi kuwa yeye ni MZANAKI. Tabu iko wapi?
Raisa Samia kujjita ni Mzanzibari sio kosa kabisa; hiyo ni utambulisho wake halisi akiwa ndani ya nchi. Atakosea kama yuko nje ya nchi akijitambuslisha yeye ni Mzanzibari. Kuitwa Msukuma, au mtu wa Dodoma au kuitwa mimi ni wa Lushoto au ko kote kule ukiwa ndani ya Tanzania ni sahihi. Utakuwa ujinga mkubwa ukajiita Mtanzania ukiwa ndani iya Tanzania labda unajitambulishwa kwa mgeni au kwa yule asifahamu asili yako au ofisi ya uhamiaji. Kila mmoja amezaliwa au kukulia eneo fulani. Hata Marekani au Uingereza akiwa ndani ya nchi ile anataja anakoytoka kiasili. Tuache maneno yasiyo na msingi juu ya hili.Niko busy kwa sasa, siwezi kuongea na mashoga km wewe. Kwanza nitaweza wapi wakati kuchamba ndiyo vitu mnafundishana kila dakika kwenye hizo saluni zenu za machoko!
Uache kuzushazusha usiyoyajua kwa sababu za chuki, we labda jikite kupigania haki ya mashoga kutambulika kisheria ili muolewe 'live'. Mkundugu wake nay we!!