Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

We hanithi tafuta mabwana wakushugulikie
Niko busy kwa sasa, siwezi kuongea na mashoga km wewe. Kwanza nitaweza wapi wakati kuchamba ndiyo vitu mnafundishana kila dakika kwenye hizo saluni zenu za machoko!

Uache kuzushazusha usiyoyajua kwa sababu za chuki, we labda jikite kupigania haki ya mashoga kutambulika kisheria ili muolewe 'live'. Mkundugu wake nay we!!
 
Siasa muchezo muchafu sana 😁😁😁😁 Rais na wa2 wake wamepiga ucngizi fuleeshi,,ninyi bado mnazulula tu jamiiforum ucku wa manane 😁😁😁😁😁
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====


Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Mimi pia ni muarusha na rafiki yangu ni mtanga na nina shemeji yangu mzanzibari !! Kwani shida ipo wapi ??!!
 
Na hiyo Ina maanisha kuna Mtanzania aliyezaliwa sehemu inaitwa Tanzania Visiwani/Zanzibar. Mwingine ni mtanzania waliyezaliwa Tanzania Bara/ Tanganyika
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====


Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Hata Nyerere alijibainisha wazi wazi kuwa yeye ni MZANAKI. Tabu iko wapi?
 
Niko busy kwa sasa, siwezi kuongea na mashoga km wewe. Kwanza nitaweza wapi wakati kuchamba ndiyo vitu mnafundishana kila dakika kwenye hizo saluni zenu za machoko!

Uache kuzushazusha usiyoyajua kwa sababu za chuki, we labda jikite kupigania haki ya mashoga kutambulika kisheria ili muolewe 'live'. Mkundugu wake nay we!!
Raisa Samia kujjita ni Mzanzibari sio kosa kabisa; hiyo ni utambulisho wake halisi akiwa ndani ya nchi. Atakosea kama yuko nje ya nchi akijitambuslisha yeye ni Mzanzibari. Kuitwa Msukuma, au mtu wa Dodoma au kuitwa mimi ni wa Lushoto au ko kote kule ukiwa ndani ya Tanzania ni sahihi. Utakuwa ujinga mkubwa ukajiita Mtanzania ukiwa ndani iya Tanzania labda unajitambulishwa kwa mgeni au kwa yule asifahamu asili yako au ofisi ya uhamiaji. Kila mmoja amezaliwa au kukulia eneo fulani. Hata Marekani au Uingereza akiwa ndani ya nchi ile anataja anakoytoka kiasili. Tuache maneno yasiyo na msingi juu ya hili.
 
Back
Top Bottom