Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mapema leo amesema yeye hapendi Ukanda ila yeye ni "Mzanzibar!"

Kiukweli Rais kakosea sana kukemea ukabila huku yeye akitamka bayana ni wa mahali fulani.

Samia umekosea sana!

====


Samia Suluhu ninapotoka hatuna makabila. Kwetu kule Zanzibar tunajuana kwa maeneo...

Kwenye system ya makuzi – shule na siasa – tunamshukuru sana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere. Kwahiyo, tunapofanya kazi hapa, na mimi binafsi, ninafanya kazi bila kuangalia kabila fulani.

Sasa watu wakifanya makosa, “nimewajibishwa kwakuwa ni kabila Fulani”. Sina kabila. Mimi hapa ukiniuliza kabila lako nani nitakwambia ni Mzanzibari.
Kwa hiyo amekiri kwa mdomo wake bila shuruti kwamba yeye ni Mzanzibari sio Mtanzania?
 
Wwe Huoni Tabu ilipo I?
Mimi sioni tabu yeyote. Kwani japo Tanzania ni moja lakini tamaduni na ustaarabu tunatofautiana kutokana na mahali/maeneo ya asili yetu.
Hata mimi nikakuficha asili/nitokako yangu, nikizungumza kiswahili changu, wewe mwenyewe utapozungumza na mke/mme wako utasema yule anatoka mkoa "A" au "B". Nami najivunia nitokako, wala sioni tabu juu ya mjadala wako. Au unataka nibane pua ili kiswahili changu kiwe kama chako?
 
Mkoloni aliyepewa nafasi ya kuitawala Tanganyika.
 
Back
Top Bottom