Rais Samia: Miradi yote iliyoachwa na Hayati Magufuli ni urithi wetu

Rais Samia: Miradi yote iliyoachwa na Hayati Magufuli ni urithi wetu

Kuna watu watashangaa sana kwa kulisema hili, lakini sijakosea kusema hivyo! Nina maanisha

Sioni ulazima wa Mh Rais kubebeshwa mzigo ambao haku uasisi yeye, hata hayati Magufuli kuna miradi iliyoasisiwa na mtangulizi wake Mh Kikwete lakini yeye alivyoingia madarakani akaachana nayo, Yes tunatambua alikuwa Makamu wa Rais lakini siyo kweli kila alichopanga aliyekuwa Rais wa JMT hayati JPM basi Mama Samia nae aliridhia.


Mh Rais sasa ndio wakati wake wa kufanya lile analoliamini na kutambua lipo ndani ya uwezo wake ,

Watanzania watamkumbuka kwa yale atakayoyafanya na kuyakamilisha, Rais kuamua kuendeleza miradi mikubwa ambayo pengine hakuiridhia tunaweza kusema anajiingiza mtegoni pasipo kufaham kwani muda aliopewa kama Rais ni mchache sana na pengine asi accomplish hata asilimia 30% ya miradi aliyoiacha Magufuli.


Mh Rais chagua tena upya miradi michache uipe kipaumbele na ukiamini inatekelezeka katika mfumo wa makusanyo halali ya kodi,

Miradi mingi mtangulizi wako aliitekeleza kwa kodi nyingi za kubambikiza ambazo sasa wewe umeshasema wananchi wasibambikiziwe kodi, miradi mingi imetekelezwa kwa faini ya makosa ya uhujumu uchumi ambazo ni kesi zilizokuwa na chembe ya uonevu pia vilevile.


Miradi mingi aliyoiasisi mtangulizi wako haitegemei kodi halali za watanzania, inachochea deni la Taifa kupaa kila kukicha.


Narudia tena kukushauri Mh Rais fanya machache na wananchi watakukumbuka nayo;


Kwa mfano

1.Boresha Kilimo cha Mtanzania ikiwemo upatikanaji wa Maafisa ugani,Pembejeo za kilimo pamoja na masoko ya uhakika

2.Bima ya Afya kwa Kila Mtanzania, hili lipe uzito kamili

3.Utawala Bora wa Sheria na Uwajibikaji

4.Boresha miundombinu ya Hospitali kila mkoa, wilaya na kata

5.Boresha mazingira mazuri ya Kibiashara na Uwekezaji


6.Boresha huduma ya upatikanaji wa maji safi na salama


7.Imarisha Demokrasia nchini


8.Dhibiti mfumuko wa bei hasa bidhaa za vyakula na ujenzi


9.Suala la KATIBA lipe kipaumbele na historia itakukumbuka Mh Rais
Pumba tupu; kwani hujasema ni miradi gani isitishwe.

Kuna tofauti kabisa kati ya kurithi majadiliano na kurithi miradi iliyokwisha anza. JPM alirithi Uwanja wa JKN na ulikuwa katika hali mbaya sana financially hadi karibu mkandarasi ajitoe lakini yeye akauendeleza. Alirithi mradi wa Kigamboni nao ukiwa katika financial troubles akauokoa. Alirithi majadiliano ya Bandari ya bagamoyo, hakuridhiana nayo na bado majadiliano yalikuwa yanandelea hadi anatangulia mbele ya haki. Tofautisha miradi iliyokwisha anza na miradi ambayo bado iko kwenye majadiliano
 
Kuna watu watashangaa sana kwa kulisema hili, lakini sijakosea kusema hivyo! Nina maanisha

Sioni ulazima wa Mh Rais kubebeshwa mzigo ambao haku uasisi yeye, hata hayati Magufuli kuna miradi iliyoasisiwa na mtangulizi wake Mh Kikwete lakini yeye alivyoingia madarakani akaachana nayo, Yes tunatambua alikuwa Makamu wa Rais lakini siyo kweli kila alichopanga aliyekuwa Rais wa JMT hayati JPM basi Mama Samia nae aliridhia.


Mh Rais sasa ndio wakati wake wa kufanya lile analoliamini na kutambua lipo ndani ya uwezo wake ,

Watanzania watamkumbuka kwa yale atakayoyafanya na kuyakamilisha, Rais kuamua kuendeleza miradi mikubwa ambayo pengine hakuiridhia tunaweza kusema anajiingiza mtegoni pasipo kufaham kwani muda aliopewa kama Rais ni mchache sana na pengine asi accomplish hata asilimia 30% ya miradi aliyoiacha Magufuli.


Mh Rais chagua tena upya miradi michache uipe kipaumbele na ukiamini inatekelezeka katika mfumo wa makusanyo halali ya kodi,

Miradi mingi mtangulizi wako aliitekeleza kwa kodi nyingi za kubambikiza ambazo sasa wewe umeshasema wananchi wasibambikiziwe kodi, miradi mingi imetekelezwa kwa faini ya makosa ya uhujumu uchumi ambazo ni kesi zilizokuwa na chembe ya uonevu pia vilevile.


Miradi mingi aliyoiasisi mtangulizi wako haitegemei kodi halali za watanzania, inachochea deni la Taifa kupaa kila kukicha.


Narudia tena kukushauri Mh Rais fanya machache na wananchi watakukumbuka nayo;


Kwa mfano

1.Boresha Kilimo cha Mtanzania ikiwemo upatikanaji wa Maafisa ugani,Pembejeo za kilimo pamoja na masoko ya uhakika

2.Bima ya Afya kwa Kila Mtanzania, hili lipe uzito kamili

3.Utawala Bora wa Sheria na Uwajibikaji

4.Boresha miundombinu ya Hospitali kila mkoa, wilaya na kata

5.Boresha mazingira mazuri ya Kibiashara na Uwekezaji


6.Boresha huduma ya upatikanaji wa maji safi na salama


7.Imarisha Demokrasia nchini


8.Dhibiti mfumuko wa bei hasa bidhaa za vyakula na ujenzi


9.Suala la KATIBA lipe kipaumbele na historia itakukumbuka Mh Rais
Miradi mikubwa ilikoelekezewa ni upande ule wenye kura ya turufu.
 
Kuna watu watashangaa sana kwa kulisema hili, lakini sijakosea kusema hivyo! Nina maanisha

Sioni ulazima wa Mh Rais kubebeshwa mzigo ambao haku uasisi yeye, hata hayati Magufuli kuna miradi iliyoasisiwa na mtangulizi wake Mh Kikwete lakini yeye alivyoingia madarakani akaachana nayo, Yes tunatambua alikuwa Makamu wa Rais lakini siyo kweli kila alichopanga aliyekuwa Rais wa JMT hayati JPM basi Mama Samia nae aliridhia.


Mh Rais sasa ndio wakati wake wa kufanya lile analoliamini na kutambua lipo ndani ya uwezo wake ,

Watanzania watamkumbuka kwa yale atakayoyafanya na kuyakamilisha, Rais kuamua kuendeleza miradi mikubwa ambayo pengine hakuiridhia tunaweza kusema anajiingiza mtegoni pasipo kufaham kwani muda aliopewa kama Rais ni mchache sana na pengine asi accomplish hata asilimia 30% ya miradi aliyoiacha Magufuli.


Mh Rais chagua tena upya miradi michache uipe kipaumbele na ukiamini inatekelezeka katika mfumo wa makusanyo halali ya kodi,

Miradi mingi mtangulizi wako aliitekeleza kwa kodi nyingi za kubambikiza ambazo sasa wewe umeshasema wananchi wasibambikiziwe kodi, miradi mingi imetekelezwa kwa faini ya makosa ya uhujumu uchumi ambazo ni kesi zilizokuwa na chembe ya uonevu pia vilevile.


Miradi mingi aliyoiasisi mtangulizi wako haitegemei kodi halali za watanzania, inachochea deni la Taifa kupaa kila kukicha.


Narudia tena kukushauri Mh Rais fanya machache na wananchi watakukumbuka nayo;


Kwa mfano

1.Boresha Kilimo cha Mtanzania ikiwemo upatikanaji wa Maafisa ugani,Pembejeo za kilimo pamoja na masoko ya uhakika

2.Bima ya Afya kwa Kila Mtanzania, hili lipe uzito kamili

3.Utawala Bora wa Sheria na Uwajibikaji

4.Boresha miundombinu ya Hospitali kila mkoa, wilaya na kata

5.Boresha mazingira mazuri ya Kibiashara na Uwekezaji


6.Boresha huduma ya upatikanaji wa maji safi na salama


7.Imarisha Demokrasia nchini


8.Dhibiti mfumuko wa bei hasa bidhaa za vyakula na ujenzi


9.Suala la KATIBA lipe kipaumbele na historia itakukumbuka Mh Rais
Tangu lini Nyumbu wakamtakia mema rais Samia hadi wampangie cha kufanya?

Hangaikeni na mzee wa MIGA mtetezi wa mashoga.
 
Muangalieni mtu mjinga huyu....
kasome ilani ya CCM kurasa 303
unadhani kiongozi wa nchi anabuni miradi yake kichwani!!???
Tz kuna mijitu mijinga kweli kama hili hamnazo
Acha kukariri basi! Kwa hiyo unataka kuniambia hata ule mradi wa magufuli wa kuwanunua wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzani chini ya uratibu wa akina Polepole na mnyeti nao ulikuwemo kwenye ilani yenu ya ccm?
 
Acha kukariri basi! Kwa hiyo unataka kuniambia hata ule mradi wa magufuli wa kuwanunua wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzani chini ya uratibu wa akina Polepole na mnyeti nao ulikuwemo kwenye ilani yenu ya ccm?
Una ushahidi!!?? au na ww fikra zako zilipumbazwa na upepo wa wakati
 
Burigi Game Reserve
2017-07-03.jpg
 
Una ushahidi!!?? au na ww fikra zako zilipumbazwa na upepo wa wakati
Mbona ushahidi uko mwingi sana kutoka kwa wahusika! Kuna yule Diwani wa kule Arusha aliyesingiziwa kumbaka mwanafunzi, kisa alikataa shinikizo la kujiunga na ccm!

Mbunge wa Arumeru Mashariki wa awamu iliyopita Joshua Nassari alikuwa na clip inayo muonesha Mnyeti akimshawishi Diwani wa Chadema kujiunga ccm kwa kumpa ahadi, mbalimbali! Na ushahidi ule aliupeleka mpaka Takukuru, na hao takukuru wakaishia tu kupotezea kwa kumuogopa mfadhili wa huo mpango wa kishetani!

Bado tu unataka ushahidi?
 
I
Acha kukariri basi! Kwa hiyo unataka kuniambia hata ule mradi wa magufuli wa kuwanunua wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzani chini ya uratibu wa akina Polepole na mnyeti nao ulikuwemo kwenye ilani yenu ya ccm?
Ila nunua nunua ile imetupiga hasara sana, kichele Kama haoni hizi pigo yaani
 
Back
Top Bottom