Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Eti amri ya mkuu wa mkoa imekuwa sheria!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani aiseee, mie nilipoona ile hotuba aliyoitoa Mama njiani Morogoro na kuwaonya wananchi kwamba' wasijejikuta wakaingizwa mkenge'.. basi nikajuwa tu yale matazamio chanya aliyowapa mwanzoni, sasa kibao kimegeuka na inabidi wawe wapole tu....... kazi iendelee.Mama alisema "ukinizingua nakuzingua"
Vuguvugu hili lipo kwenye mitandao ya simu ambao hao ni makada. Ukija mtaani raia hawana habari na hili mnalolipigania kwenye mitandao na Chama kama Chama.Wanazuia mafuriko kwa mkono.
Huku mbowe anasema kuna korona..mara chanjo iwe lazima..kisha anawaita watu wakusanyike..hizi beer zilizoshushwaa bei zinawaharibu viongozi wa chadema..how comes unasema kuna korona na unawakusanya watu!!
Mama anauchapa mwingiMama anawakomesha mataga, sukuma gang na kufuta legacy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njia aliyoitumia Mbowe haikuwa muafaka wa kutoa kauli kama zile. Rais alionyesha kuwa licha ya kwamba alikuwa ni msaidizi wa aliyepita lakini kuna mambo alikuwa hafurahishwi nayo kwa kuwa mamlaka hakuwa nayo ilibaki kuwa kama ilivyokuwa ijapokuwa CCM bado ni CCM.Yaani aiseee, mie nilipoona ile hotuba aliyoitoa Mama njiani Morogoro na kuwaonya wananchi kwamba' wasijejikuta wakaingizwa mkenge'.. basi nikajuwa tu yale matazamio chanya aliyowapa mwanzoni, sasa kibao kimegeuka na inabidi wawe wapole tu....... kazi iendelee.
Muda muafaka ni upi?Bw. Salary Slip tufike mahala tuwe wa kweli. Chadema hapa mlikosea kuutambua muda muafaka wa hili jambo.
Kutambua jambo sahihi kwa wakati sahihi!Muda muafaka ni upi?
[emoji23][emoji23]Mama anawakomesha mataga, sukuma gang na kufuta legacy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]