Rais Samia, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza umemtupia zigo la lawama? Elewa tu watu wanaamini ana baraka zako

Rais Samia, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza umemtupia zigo la lawama? Elewa tu watu wanaamini ana baraka zako

Binafsi huwa najiuliza Chadema wana lengo gani hasa na Harakati zao hizi za Siasa. Huwa nawaza mambo mawili, Aidha wanafanya siasa zao kwa lengo la kuwaridhisha watu fulani ambao wanawafadhili ili waendelee kuwapa fedha au Hawajui watanzania ni watu wa namna gani inapokuja suala la Siasa.

Unapojiita chama ambacho ni cha kuwasemea watanzania, na unaitisha Maandamano au uko kwenye kuonewa na dola na unaitisha Maandamano lakini watu hao hawajitokezi, lazima ujiulize mara mbili, nini shida? Je, ninachokipigania ndicho wanachokihitaji? Je, njia ninayoitumia ndio wanayoitaka? Je, wako tayari kujitolea kiasi gani? Mimi nina aamini Chadema ni chama kikubwa kioganaizesheni, hivyo kinafanya tathmini na tafiti na kujua nini hasa watu wanataka.

Ukisoma mitandaoni juu ya katiba, unaona mjadala huu unazungumziwa zaidi Twitter, ukichunguza mitandao ya Instagram au Facebook ni nadra kukuta mjadala huu. Je, watanzania wanagapi wanatumia Twitter? Hao wanaotweet kuhusu Katiba ni watu wa kundi lipi? Je, ukifanya reflection huku mtaani Katiba inazungumziwa? Pita kwenye vijiwe, pita sokoni, nenda kwenye mabaa, zungukia kwenye makusanyiko ya harusi au misiba, je kuna mjadala wa katiba? Kama upo inajadiliwa katiba kama hitaji au kama tukio la mvutano wa kisiasa? Ukitathmini yote unaona kuna disconnect kubwa kati ya kinachodaiwa na Chadema na wananchi wenyewe huku mtaani.


Mwaka jana Lissu alizuiwa Kiluvya, jana yake alikuwa na kusunyiko kubwa la watu, lakini hawakujitokeza kupingana na Polisi, Mikutano yote Lissu alikuwa na 'mafuriko' ya watu, lakini alipoitisha Maandamano ya amani Nov 2, 2020 hata wanachama wa chama chake hawakujitokeza. Haya ndio mambo yanaleta maswali juu ya approach ya Chadema kwenye siasa za Tanzania. View attachment 1862098View attachment 1862099View attachment 1862100View attachment 1862101View attachment 1862102
Sasa umejiuliza Kama hawaendi sababu wanaogopa au wanapenda wanayoendelea...
 
Kule kwenye vita
MBWANA tunaweza sema limetoka kwenye Bwana "Sayyid"

ABDALLAH kwa maana ya Abdillah yaani mja wa Mungu.

Lakini bado hauna heshima! Umeliandika jina langu kwa kejeli kisa nipo tofauti na wewe kwenye kutafakari. Nimekusamehe.

Nimechoka, naipumzisha akili kwa muda huu nasoma comment za hapa na pale na kujibu mambo ninayoona hayatachosha kichwa changu.
 
MBWANA tunaweza sema limetoka kwenye Bwana "Sayyid"

ABDALLAH kwa maana ya Abdillah yaani mja wa Mungu.

Lakini bado hauna heshima! Umeliandika jina langu kwa kejeli kisa nipo tofauti na wewe kwenye kutafakari. Nimekusamehe.

Nimechoka, naipumzisha akili kwa muda huu nasoma comment za hapa na pale na kujibu mambo ninayoona hayatachosha kichwa changu.
Hammaz hivi umewai kufikiria mama Samia alikuwa Nani katika bunge la Katiba...umewai kufikiria mchakato wa Katiba mpya ulianzishwa na ccm? Umewai kufikiria mchakato ulizunguka nchi nzima? Uliwahi kufikia wananchi waliunga mkono kuwapo na Katiba mpya? Uliwahi kufikiria mamilioni ya fedha yalitumika kuandaa Katiba mpya? Binafsi ni mfuasi Sana wa mama Samia lakini katika hili atulize Sana kichwa maana linaweza likamshusha...kupambana na hili kutamualibia mambo kimataifa hili sio Jambo lake Wala Sera ya chama ni jambo la kitaifa....walilianzisha wenyewe ..kupambana nalo ni sawa na kupambana na makali waliyoyanoa wenyewe...chadema hapa sio wajinga ni nafasi kwao kuwaonyesha kuwa bado wapo...hawana kitu kingine...ni Katiba mpya...sioni sababu kuzuia mikutano yao...waache wakutanike si tumewaruhusu mikutano ya ndani...wataongea kisha wataondoka...suala la Katiba mpya nafikiri sio utashi wa mtu au chama kutaka iwepo,...watu Wana haki ya Kupata majibu ..serikali inatakiwa kutoa majibu kwanini haitaki Katiba mpya?...kwanini iliileta?...Nini ubaya wake? Haielezi badala yake inashindana na hawa watu...tunaitaji maendeleo ya nchi..tunaitaji misaada bila misaada hatuwezi kufika popote tusijidanganye...mbaya zaidi sharti kubwa la kupata misaada ni siasa Safi na demokrasia....unaposema chadema wanakosea ndugu nafikiri uko wrong ..maana wanajua wanachokifanya....mama Samia kuwa makini na wana siasa wasikuingize ktk siasa hizi ... Kemea ..maana vyombo vya kimataifa Leo jinsi vilivyotangaza hili Jambo...nimeshtuka sana
 
Chama changu kilikosea chenyewe toka mwanzo
Hatukujipanga kwenye MTAZAMO wa kimakundi kwenye VIZAZI

Yani kizazi kabla ya Uhuru wadai Uhuru hawa
Kizazi baada ya Uhuru nakizazi baada ya Uhuru yani kutoka kizazi TANU hadi ccm

Kwasasa tumechemka tujipange kujibadilisha sio dhambi

Tunazidi kujichelewesha
 
Binafsi huwa najiuliza Chadema wana lengo gani hasa na Harakati zao hizi za Siasa. Huwa nawaza mambo mawili, Aidha wanafanya siasa zao kwa lengo la kuwaridhisha watu fulani ambao wanawafadhili ili waendelee kuwapa fedha au Hawajui watanzania ni watu wa namna gani inapokuja suala la Siasa.

Unapojiita chama ambacho ni cha kuwasemea watanzania, na unaitisha Maandamano au uko kwenye kuonewa na dola na unaitisha Maandamano lakini watu hao hawajitokezi, lazima ujiulize mara mbili, nini shida? Je, ninachokipigania ndicho wanachokihitaji? Je, njia ninayoitumia ndio wanayoitaka? Je, wako tayari kujitolea kiasi gani? Mimi nina aamini Chadema ni chama kikubwa kioganaizesheni, hivyo kinafanya tathmini na tafiti na kujua nini hasa watu wanataka.

Ukisoma mitandaoni juu ya katiba, unaona mjadala huu unazungumziwa zaidi Twitter, ukichunguza mitandao ya Instagram au Facebook ni nadra kukuta mjadala huu. Je, watanzania wanagapi wanatumia Twitter? Hao wanaotweet kuhusu Katiba ni watu wa kundi lipi? Je, ukifanya reflection huku mtaani Katiba inazungumziwa? Pita kwenye vijiwe, pita sokoni, nenda kwenye mabaa, zungukia kwenye makusanyiko ya harusi au misiba, je kuna mjadala wa katiba? Kama upo inajadiliwa katiba kama hitaji au kama tukio la mvutano wa kisiasa? Ukitathmini yote unaona kuna disconnect kubwa kati ya kinachodaiwa na Chadema na wananchi wenyewe huku mtaani.


Mwaka jana Lissu alizuiwa Kiluvya, jana yake alikuwa na kusunyiko kubwa la watu, lakini hawakujitokeza kupingana na Polisi, Mikutano yote Lissu alikuwa na 'mafuriko' ya watu, lakini alipoitisha Maandamano ya amani Nov 2, 2020 hata wanachama wa chama chake hawakujitokeza. Haya ndio mambo yanaleta maswali juu ya approach ya Chadema kwenye siasa za Tanzania. View attachment 1862098View attachment 1862099View attachment 1862100View attachment 1862101View attachment 1862102
Chademas are using old fashioned tactics to fight vs new fashioned Ccm's tactics.
 
Hammaz hivi umewai kufikiria mama Samia alikuwa Nani katika bunge la Katiba...umewai kufikiria mchakato wa Katiba mpya ulianzishwa na ccm? Umewai kufikiria mchakato ulizunguka nchi nzima? Uliwahi kufikia wananchi waliunga mkono kuwapo na Katiba mpya? Uliwahi kufikiria mamilioni ya fedha yalitumika kuandaa Katiba mpya? Binafsi ni mfuasi Sana wa mama Samia lakini katika hili atulize Sana kichwa maana linaweza likamshusha...kupambana na hili kutamualibia mambo kimataifa hili sio Jambo lake Wala Sera ya chama ni jambo la kitaifa....walilianzisha wenyewe ..kupambana nalo ni sawa na kupambana na makali waliyoyanoa wenyewe...chadema hapa sio wajinga ni nafasi kwao kuwaonyesha kuwa bado wapo...hawana kitu kingine...ni Katiba mpya...sioni sababu kuzuia mikutano yao...waache wakutanike si tumewaruhusu mikutano ya ndani...wataongea kisha wataondoka...suala la Katiba mpya nafikiri sio utashi wa mtu au chama kutaka iwepo,...watu Wana haki ya Kupata majibu ..serikali inatakiwa kutoa majibu kwanini haitaki Katiba mpya?...kwanini iliileta?...Nini ubaya wake? Haielezi badala yake inashindana na hawa watu...tunaitaji maendeleo ya nchi..tunaitaji misaada bila misaada hatuwezi kufika popote tusijidanganye...mbaya zaidi sharti kubwa la kupata misaada ni siasa Safi na demokrasia....unaposema chadema wanakosea ndugu nafikiri uko wrong ..maana wanajua wanachokifanya....mama Samia kuwa makini na wana siasa wasikuingize ktk siasa hizi ... Kemea ..maana vyombo vya kimataifa Leo jinsi vilivyotangaza hili Jambo...nimeshtuka sana
Tanzania sio kisiwa, lakini Mungu hakuwaumba watanzania ili waishi kwa kutegemea misaada ya wazungu.

Yes, tunahitaji katiba mpya , lakini sio kwa ajili ya kuwafurahisha wazungu.
 
Hakuna namna CCM itatawala nchi bila kutumia nguvu, haina njia mbala ya kuitawala nchi kwa sasa,kwa sababu hawana hoja za kisiasa za kuituliza nchi,kwani kuna uongo gani haujasemwa na CCM? hawana uongo mpya ndugu zangu! hata akishuka malaika aingie CCM lazima atumie nguvu kutawala maana hatakuwa na jipya na hii ndio inathibitisha kuwa mwisho wa njia uko karibu.
😀😀😀😀 CCM ya kujibu hoja kwa hoja ilishaondoka na Nyerere. Iliyobaki ni CCM inayojibu hoja kwa pingu, mabomu, mbwa na risasi za moto
 
Back
Top Bottom