Of course, LAZIMA atakuwa na baraka za rais directly or indirectly! Lau kama asingekuwa na hizo baraka, hivi sasa ingekuwa ameshatoa agizo la watu wao kuachiwa mara moja!!
Ninachoona haya ni maagizo ya rais moja kwa moja! Na hata kama rais hakuagiza moja kwa moja, kufumbia macho matendo ya kishenzi kama hayainakuwa anatoa ujumbe kwa polisi kwamba waendelee kukamata raia wasio na hatia!
Na hapa kuna tatizo lingine... insecurity!!
Kwa kawaida, baadhi ya wanawake wakipata madaraka huwa wanasumbuliwa sana na hili suala! Katika hili, baadhi yao, tena kwa wingi tu hudhani jambo fulani linafanywa dhidi ya mamlaka yao kwa sababu wanaofanya wanamdharau kwa kumuona yeye ni mwanamke tu!!
Mtu anapokuwa na mawazo mabovu kama hayo, mara nyingi hufanya maamuzi ya ovyo kama defensive mechanism ya kutaka ku-prove "she's tough"!
Sijui ni lini Mwenyezi Mungu atatuondolea Janga la CCM na Watu wake!!!