Rais Samia, mpe Uwaziri Freeman Mbowe wa CHADEMA!

Rais Samia, mpe Uwaziri Freeman Mbowe wa CHADEMA!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1724662568414.png

Kuna philosophy nyingi sana za mtu na madaraka.
Wengine wanasema ukitaka kumjua mtu na uwezo wake, mpe madaraka.
Wengine wanasema ukitaka kummaliza mtu mpe pesa na madaraka.

Sasa wenzetu, wananchi wenzetu toka chama pinzani, wamekuwa wakililia keki muda mrefu, napendekeza Mbowe apewe uwaziri, tena wa Mambo ya Ndani.

Rais Nelson Mandela wa Afrika Kusini, aliwahi kumpa kabisa Urais wa muda mpinzani wake Mkuu, Chief Mongaasuthu Buthelezi.
Mzee Buthelezi akapoa.
Nasi tumjaribu mtanzania huyu,Freeman Mbowe, ambaye atakuwa pia waziri wa Mapolisi.
 
View attachment 3079580
Kuna philosophy nyingi sana za mtu na madaraka.
Wengine wanasema ukitaka kumjua mtu na uwezo wake, mpe madaraka.
Wengine wanasema ukitaka kummaliza mtu mpe pesa na madaraka.

Sasa wenzetu, wananchi wenzetu toka chama pinzani, wamekuwa wakililia keki muda mrefu, napendekeza Mbowe apewe uwaziri, tena wa Mambo ya Ndani.

Rais Nelson Mandela wa Afrika Kusini, aliwahi kumpa kabisa Urais wa muda mpinzani wake Mkuu, Chief Mongaasuthu Buthelezi.
Mzee Buthelezi akapoa.
Nasi tumjaribu mtanzania huyu,Freeman Mbowe, ambaye atakuwa pia waziri wa Mapolisi.
Hivi ID yako nani kaiba? I mean password! You used to write sense!
 
Back
Top Bottom