Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Chawa hawezi kuwa na akili timamu. Huyo ni mtetezi wa matapeliRais samia kweli ni mtetezi wa wanyonge na msikivu kweli kweli baada ya kusikia kilio kwa vyama vya upinzani ameamua yaishe na kuamua kuwaagiza wagombea wa upinzani waliokatwa mara moja warudishwe kwenye uchaguzi ili wachinjwe na wananchi wenyewe kwa Rais huyu wapinzani hamtaambulia chochote kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi wa Rais,madiwani na wabunge
Comred Rais samia suluhu Hassan tuvushe
Raisi huyu ni wa hovyo na hatufai kwa chochote,na hapaswi kuendelea kutuongoza hana maamuzi yoyote ya msingi ndio maana ameharibu uchumi wetu na kuporomosha kabisa shilingi yetu,mabenki yote nchi nzima yamepandisha riba uchumi uko taabani wanaosifia upuuzi huu ni wasio na Akili pekee.Rais samia kweli ni mtetezi wa wanyonge na msikivu kweli kweli baada ya kusikia kilio kwa vyama vya upinzani ameamua yaishe na kuamua kuwaagiza wagombea wa upinzani waliokatwa mara moja warudishwe kwenye uchaguzi ili wachinjwe na wananchi wenyewe kwa Rais huyu wapinzani hamtaambulia chochote kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi wa Rais,madiwani na wabunge
Comred Rais samia suluhu Hassan tuvushe
Ndege ipo off pilot chawa ana nengua kwa mapambio na taarabu kama bi hadija kopa akiwa pale chimwagawakati wa vikao vya wauza nchi wa ccmRais samia kweli ni mtetezi wa wanyonge na msikivu kweli kweli baada ya kusikia kilio kwa vyama vya upinzani ameamua yaishe na kuamua kuwaagiza wagombea wa upinzani waliokatwa mara moja warudishwe kwenye uchaguzi ili wachinjwe na wananchi wenyewe kwa Rais huyu wapinzani hamtaambulia chochote kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi wa Rais,madiwani na wabunge
Comred Rais samia suluhu Hassan tuvushe
Yani atengeneze tatizo mwenyewe aje na jawabu halafu muanze mapambio. Chawa mna matatizo.Rais samia kweli ni mtetezi wa wanyonge na msikivu kweli kweli baada ya kusikia kilio kwa vyama vya upinzani ameamua yaishe na kuamua kuwaagiza wagombea wa upinzani waliokatwa mara moja warudishwe kwenye uchaguzi ili wachinjwe na wananchi wenyewe kwa Rais huyu wapinzani hamtaambulia chochote kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi wa Rais,madiwani na wabunge
Comred Rais samia suluhu Hassan tuvushe