Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
. Ni mkweli
. Sio mnafiki
. Anasimamia ukweli
. Ni mcha MUNGU
. Hajipendekezi
. Na kubwa Zaidi ni mbobevu na bingwa kwenye mambo ya uchumi.
Kama tunahitaji watu wa kulisaidia Taifa basi tuwatumie watu wa aina hii.
Sina maslahi nae nimetoa ushauri tu na hii ni kutokana na weledi wake.
. Sio mnafiki
. Anasimamia ukweli
. Ni mcha MUNGU
. Hajipendekezi
. Na kubwa Zaidi ni mbobevu na bingwa kwenye mambo ya uchumi.
Kama tunahitaji watu wa kulisaidia Taifa basi tuwatumie watu wa aina hii.
Sina maslahi nae nimetoa ushauri tu na hii ni kutokana na weledi wake.