Rais Samia mtumie Profesa Assad akusaidie kwenye Uchumi

Rais Samia mtumie Profesa Assad akusaidie kwenye Uchumi

.Ni mkweli
.Sio mnafiki
.Anasimamia ukweli
.Ni mcha MUNGU
.Hajipendekezi
.Na kubwa Zaidi ni mbobevu na bingwa kwenye mambo ya uchumi

Kama tunahitaji watu wa kulisaidia Taifa basi tuwatumie watu wa aina hii.

Sina maslahi nae nimetoa ushauri tu na hii ni kutokana na weledi wake.
[emoji817]% Prof: Asad
 
. Ni mkweli
. Sio mnafiki
. Anasimamia ukweli
. Ni mcha MUNGU
. Hajipendekezi
. Na kubwa Zaidi ni mbobevu na bingwa kwenye mambo ya uchumi.

Kama tunahitaji watu wa kulisaidia Taifa basi tuwatumie watu wa aina hii.

Sina maslahi nae nimetoa ushauri tu na hii ni kutokana na weledi wake.
Kweli mkuu nimekuwa na wazo kama lako shida system yetu haitaki watu wakweli kama akina assad
 
. Ni mkweli
. Sio mnafiki
. Anasimamia ukweli
. Ni mcha MUNGU
. Hajipendekezi
. Na kubwa Zaidi ni mbobevu na bingwa kwenye mambo ya uchumi.

Kama tunahitaji watu wa kulisaidia Taifa basi tuwatumie watu wa aina hii.

Sina maslahi nae nimetoa ushauri tu na hii ni kutokana na weledi wake.
kama maguMEKO alichomoa mapolofesa kutoka majalalani kina bashiru na yule mimacho wakamsaidia walivyomsaidia kwanini MAMA asimfikirie huyu MTU MUADILIFU DHAHIR lakini utashanga MAMA atajifanya kama hajui kuna kichwa kinaitwa ASSAD
Ngoja tuone!
 
. Ni mkweli
. Sio mnafiki
. Anasimamia ukweli
. Ni mcha MUNGU
. Hajipendekezi
. Na kubwa Zaidi ni mbobevu na bingwa kwenye mambo ya uchumi.

Kama tunahitaji watu wa kulisaidia Taifa basi tuwatumie watu wa aina hii.

Sina maslahi nae nimetoa ushauri tu na hii ni kutokana na weledi wake.
Wewe mwenyewe ndo asaad sio?
Sasa unajipigia pande.
Ulisha staafu sasa tulia wengine nai wafanye kazi.
 
. Ni mkweli
. Sio mnafiki
. Anasimamia ukweli
. Ni mcha MUNGU
. Hajipendekezi
. Na kubwa Zaidi ni mbobevu na bingwa kwenye mambo ya uchumi.

Kama tunahitaji watu wa kulisaidia Taifa basi tuwatumie watu wa aina hii.

Sina maslahi nae nimetoa ushauri tu na hii ni kutokana na weledi wake.
Acha mstaafu apumzike, tunao wataalamu wengi sana nchi hii
 
Back
Top Bottom