Rais Samia mtumie Profesa Assad akusaidie kwenye Uchumi

[emoji817]% Prof: Asad
 
Kweli mkuu nimekuwa na wazo kama lako shida system yetu haitaki watu wakweli kama akina assad
 
kama maguMEKO alichomoa mapolofesa kutoka majalalani kina bashiru na yule mimacho wakamsaidia walivyomsaidia kwanini MAMA asimfikirie huyu MTU MUADILIFU DHAHIR lakini utashanga MAMA atajifanya kama hajui kuna kichwa kinaitwa ASSAD
Ngoja tuone!
 
Wewe mwenyewe ndo asaad sio?
Sasa unajipigia pande.
Ulisha staafu sasa tulia wengine nai wafanye kazi.
 
Acha mstaafu apumzike, tunao wataalamu wengi sana nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…