Rais Samia mtupie jicho la tatu Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Rufaa Mwanza Sekou Toure Dkt. Bahati Msacky

Rais Samia mtupie jicho la tatu Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Rufaa Mwanza Sekou Toure Dkt. Bahati Msacky

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Rais Samia Suluhu Hassan kama ulivyowahi kumuamini Dr. Ummy Mwalimu kumpa mamlaka ya uwaziri kamili wa Afya nakuomba pia umchukue huyu dada Kwa maslahi mapana ya Taifa. Hata kama siyo kumpa Uwaziri kamili mpatie Unaibu au nafasi ya Ukatibu kule Wizara ya Afya.

Hii ni dhahabu iliyosahaulika. Hapa namuongelea mwanadada Dr. Bahati Msacky ambaye ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwanza, Sekou Toure.

Huyu dada naweza kusema ni mtetezi wa wanyonge wanaofika kupatiwa huduma za afya hapa hospitalini. Kuifanya hospitali ya Sekou Toure kuwa hospitali bora kiutoaji huduma mbele ya hospitali kubwa na kongwe kama Bugando siyo japo jepesi hata kidogo!Siyo jambo jepesi!

Huyu dada yupo committed haswaa! Anaipenda kazi yake haswaa. Wanamwanza walio wengi wanaamini kabisa huyu dada anastahili kuwa katika nafasi za juu kiutendaji ili alinufaishe Taifa.

Wito wangu kwa madam President chukua hili jembe lipe wizara ndani ya miezi sita utaona matunda yake!

FB_IMG_1725299051038.jpg
FB_IMG_1725298984094.jpg
FB_IMG_1725298968175.jpg
FB_IMG_1725298954582.jpg
FB_IMG_1725298922567.jpg


FB_IMG_1725299051038.jpg
FB_IMG_1725298984094.jpg
FB_IMG_1725298968175.jpg
FB_IMG_1725298954582.jpg
FB_IMG_1725298922567.jpg
 
Promo ama?

Madaktari wako wengi hasa huko vijijini wanafanya kazi ngumu katika mazingira magumu mnooo....

Hawa ni wa kufikiriwa zaidi kwani uzalendo wao ni wa kutukuka...

By the way madaktari wana msemo wao wa kiimani "DO NOT DO HARM"...hiki ni kiapo kwa kila mtoa huduma wa afya kwa kada hiyo.....na wote huwa ni wazuri ukiacha wachache sana....

#Nchi Kwanza[emoji2956]
 
Wafanyakazi wote wa serikali wanatakiwa kuelewa kuwa mishahara wanayolipwa ni kwa ajili ya kuwa committed na kazi si vinginevyo kuwa mtumishi akiwa committed na kazi inaonekana kama kitu cha ajabu sana
 
Wafanyakazi wote wa serikali wanatakiwa kuelewa kuwa mishahara wanayolipwa ni kwa ajili ya kuwa committed na kazi si vinginevyo kuwa mtumishi akiwa committed na kazi inaonekana kama kitu cha ajabu sana
Haswaa...

Commitment ni LAZIMA kwa hiyo hakuna haja ya kumsifia KUPINDUKIA mtu mwenye kufanya WAJIBU wake vyema....

#Nchi Kwanza[emoji2956]
 
Back
Top Bottom