Rais Samia mtupie jicho la tatu Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Rufaa Mwanza Sekou Toure Dkt. Bahati Msacky

Rais Samia mtupie jicho la tatu Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Rufaa Mwanza Sekou Toure Dkt. Bahati Msacky

Jumatatu tarehe 02 Sept, 2024 ulileta uzi wa kumwaga sifa kama huu, leo tarehe 04 Sept 2024 just 2 days after umeleta tena uzi wenye same theme. My friend miluzi mingi hupoteza Mbwa. Nenda taratibu utamuharibia huyo Dada!
Upo sahii sana mkuu, Bongo mpaka unaanza sifiwa jua kuna kitu ,

Inawezekana wapo watu flan akiwemo mtoa mada kuwa na ushirika wa karibu wa kugawana keki.

Wenda pia uyu ni kindaki ndaki wa mboga mboga.

Unasifiaje mfawadhi bila kutopeleka sifa kwa watoa huduma, na je uyo mfawawidhi ni kweli yapo makubwa amefanya kuliko wafawidhi wengine katika referal hospital ? wahuni sio watu wazuri
 
Rais Samia Suluhu Hassan kama ulivyowahi kumuamini Dr. Ummy Mwalimu kumpa mamlaka ya uwaziri kamili wa Afya nakuomba pia umchukue huyu dada Kwa maslahi mapana ya Taifa. Hata kama siyo kumpa Uwaziri kamili mpatie Unaibu au nafasi ya Ukatibu kule Wizara ya Afya.

Hii ni dhahabu iliyosahaulika. Hapa namuongelea mwanadada Dr. Bahati Msacky ambaye ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwanza, Sekou Toure.

Huyu dada naweza kusema ni mtetezi wa wanyonge wanaofika kupatiwa huduma za afya hapa hospitalini. Kuifanya hospitali ya Sekou Toure kuwa hospitali bora kiutoaji huduma mbele ya hospitali kubwa na kongwe kama Bugando siyo japo jepesi hata kidogo!Siyo jambo jepesi!

Huyu dada yupo committed haswaa! Anaipenda kazi yake haswaa. Wanamwanza walio wengi wanaamini kabisa huyu dada anastahili kuwa katika nafasi za juu kiutendaji ili alinufaishe Taifa.

Wito wangu kwa madam President chukua hili jembe lipe wizara ndani ya miezi sita utaona matunda yake!

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270

View attachment 3085265View attachment 3085266View attachment 3085267View attachment 3085269View attachment 3085270
Mchaga wa watu
 
Jumatatu tarehe 02 Sept, 2024 ulileta uzi wa kumwaga sifa kama huu, leo tarehe 04 Sept 2024 just 2 days after umeleta tena uzi wenye same theme. My friend miluzi mingi hupoteza Mbwa. Nenda taratibu utamuharibia huyo Dada!
Mtu akifanya mazuri huna kiwango cha kumsifia.Mtu akifanya maovu pia huna limit ya kumkosoa.Mbona mpaka sasa watu Kila siku wanaandika nyuzi za kumkosoa kiboko ya wachawi na hamlalamiki?
 
mnampigia debe ama mnampromoti? kwa taarifa yenu watu wachapa kazi na wanaojitambua hawawezi kupewa vyeo , wee hushangai anatolewa Ummy Mwalimu anawekwa Jenista shameeeeeeeeeeeeeeeeeeee, pia unatoa Jerry silaa unaleta Ndejembiiii, uwiii makubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, FAILED state, hata kama nayachukia mafiisiiemu lakini hoawa waliotolewa angalau walikua wanajimwambafai na kuna baadhi ya mambo waliyamudu kabisaaa, ila sasa mama yenu Hangaya yaani akilishwa tango pori kuwa kuna mtu anamfunika dakika sifuri anamuua.
 
Makonda anafanya kazi hahitaji sifa kazi yake ndio inambeba.

Watanzania badala ya kutafuta wapambe wa kusifia kazi zetu tuache kazi zitubebe tuige mfano wa Magufuli.Hakupanga wala kutarajia kuwa Raisi na hakuwa na mpango wala wapambe ila kazi yake ndio ilimbeba hadi kuwa Raisi

Wafanyakazi wa serikali chapeni kazi acheni longolongo za upambe mitandaoni .

Makonda vile vile hahitaji wapambe kumbeba kazi afanyazo ndizo zinambeba

Na huyo acheni kazi zimbebe
 
Back
Top Bottom