Rais Samia muwajibishe Gerson Msigwa na Mramba, wameongopa kuhusu ongezeko la uzalishaji umeme

Rais Samia muwajibishe Gerson Msigwa na Mramba, wameongopa kuhusu ongezeko la uzalishaji umeme

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Rais Samia sikupangii ila inapaswa kumuwajibisha Msemaji mkuu wa serikali na Felchesim Mramba ambae sasa ni kamishna wa umeme na nishati Tanesco.

Kwanini uwawajibishe
Tarehe 10 mwezi huu wa 11, wiki moja iliyopita kulikuwa na mkutano wa waandishi wa habari na mawaziri na watendaji mbalimbali wa serikali wakielezea miaka 60 ya uhuru.

Hawa watu walisema sasa hivi tunazalisha umeme megawati 1607, huku mahitaji yakiwa megawati 1237. Hivyo tuna ziada ya umeme karibu ya megawati 400.

Siku jana Tanesco wametoa taarifa kuwa tuna upungufu wa uzalishaji kwenye umeme. Ina maana haya mapungufu yametokea ndani ya wiki 1 tu?

Sina chuki wala wivu kwa Gerson Msigwa wala Mramba, ila anza na hao ili kuonyesha uwajibikaji wao.

Mama Samia ukweli hatuwezi kwenda kwa style hii ya watendaji wakubwa wa serikali kwa kuongopea umma.

Na Kama wao wanasema ukweli kuwa tunazalisha sana umeme kuliko mahitaji basi unapaswa kumuwajibisha mkurugenzi wa Tanesco kwa kuongopa kuwa Kuna upungufu wa uzalishaji.

Ukiiacha hali hii kuendelea basi kuna hatari zaidi inakuja.

Screenshot_20211119-100145_1.jpg
Screenshot_20211119-100139_1.jpg
 
Sina chuki wala wivu kwa Gerson Msigwa wala Mramba, Ila anza na hao ili kuonyesha uwajibikaji wao.
Acha wivu wee jamaa, utilities zote ambazo ni generated, the generation inafanyika on daily basis, kuna uwezekano kabisa leo ukagenerate megawati 1607, na wewe mahitaji yako yakiwa megawati 1237, hivyo kuzalisha ziada ya megawati 400, lakini kesho yake, ukazalisha only megawati 800, na ukawa na upungufu wa megawati 400!

Sio tuu acha wivu, bali acha chuki kuwachukia watu kutaka watumbuliwe bila kosa lolote. Upungufu wa umeme unasababishwa na upungufu wa maji. Msingwa na Mramba ndio responsible kutengeneza maji ya kuzalishia umeme?

Acha hizo!

P
 
Rais hapangiwi cha kufanya.

Chapa kazi dogo, maisha ni hayahaya.

Hata akiwafukuza amin amin nakuambia hakuna faida yoyote utakayoipata.
 
Ungesema aanze na January Kwanza ningekuelewa.

Alianza akasema umeme ukikatika atatumbua mtu.

Miundo mbinu mibovu kutokana na kutofanyiwa repair kwa hofu ya kutumbuliwa.

Wataalamu maji yamepungua.

Unamwamije mtu muongomuongo Kama huyu?
 
Msemaji mkuu wa serikali ni nafasi nyeti sana kwa taifa

Nashangaa

1. Kuona kila wakati presentation zake zimekaa kiitikadi kama mwenezi
2. Kupamba hoja kama kuna kampeni ya kitu Fulani
3. Kila wiki kuongea Msemaji wa serikali lazima uchuje kwa uzito wa ofisi.Hata wapiga debe wana Majira yakupiga debe kulingana na bidhaa.
 
Kuna aina ya watu wakikuambia Usiku Mwema, kabla hujaitika toka Nje kahakikishe kwanza kama kweli ni usiku.
 
Wenzetu watu weupe hawana upumbavu model hii, pia hayati Magufuli hakuwadekeza watu model hii.

Ni lugha gongana mwanzo mwisho, hii damu ya marehemu haitawaacha salama hata kidogo
 
Wanafamilia ya kulisha hao, wasamehewe tu.
 
Acha wivu wee jamaa, utilities zote ambazo ni generated, the generation inafanyika on daily basis, kuna uwezekano kabisa leo ukagenerate megawati 1607, na wewe mahitaji yako yakiwa
Hayo unayosema yametokea ndani ya wiki moja?
Hata ufanye nini huwezi kupata uteuzi
 
Akiajibishwa huyo na waziri mkuu Naye awajibishwe??? Viongozi wetu hawa wa sasa ni waongo sana, Hamna wa kumwamini!! Uongo ndo uliowatawala
Tangu Waziri Mkuu huyu atudanganye kwamba Jiwe anaendelea kuchapa kazi ikiwemo ya kupitia mafaili wakati hayupo duniani nilishakosa imani naye
 
Rais Samia sikupangii ila inapaswa kumuwajibisha Msemaji mkuu wa serikali na Felchesim Mramba ambae sasa ni kamishna wa umeme na nishati Tanesco.

Kwanini uwawajibishe
Tarehe 10 mwezi huu wa 11, wiki moja iliyopita kulikuwa na mkutano wa waandishi wa habari na mawaziri na watendaji mbalimbali wa serikali wakielezea miaka 60 ya uhuru.

Hawa watu walisema sasa hivi tunazalisha umeme megawati 1607, huku mahitaji yakiwa megawati 1237. Hivyo tuna ziada ya umeme karibu ya megawati 400.

Siku jana Tanesco wametoa taarifa kuwa tuna upungufu wa uzalishaji kwenye umeme. Ina maana haya mapungufu yametokea ndani ya wiki 1 tu?

Sina chuki wala wivu kwa Gerson Msigwa wala Mramba, ila anza na hao ili kuonyesha uwajibikaji wao.

Mama Samia ukweli hatuwezi kwenda kwa style hii ya watendaji wakubwa wa serikali kwa kuongopea umma.

Na Kama wao wanasema ukweli kuwa tunazalisha sana umeme kuliko mahitaji basi unapaswa kumuwajibisha mkurugenzi wa Tanesco kwa kuongopa kuwa Kuna upungufu wa uzalishaji.

Ukiiacha hali hii kuendelea basi kuna hatari zaidi inakuja.

View attachment 2016048View attachment 2016049
wamesahau huu msemo "ukiwa muongo usiwe msahaulifu"
 
Rais Samia sikupangii ila inapaswa kumuwajibisha Msemaji mkuu wa serikali na Felchesim Mramba ambae sasa ni kamishna wa umeme na nishati Tanesco.

Kwanini uwawajibishe
Tarehe 10 mwezi huu wa 11, wiki moja iliyopita kulikuwa na mkutano wa waandishi wa habari na mawaziri na watendaji mbalimbali wa serikali wakielezea miaka 60 ya uhuru.

Hawa watu walisema sasa hivi tunazalisha umeme megawati 1607, huku mahitaji yakiwa megawati 1237. Hivyo tuna ziada ya umeme karibu ya megawati 400.

Siku jana Tanesco wametoa taarifa kuwa tuna upungufu wa uzalishaji kwenye umeme. Ina maana haya mapungufu yametokea ndani ya wiki 1 tu?

Sina chuki wala wivu kwa Gerson Msigwa wala Mramba, ila anza na hao ili kuonyesha uwajibikaji wao.

Mama Samia ukweli hatuwezi kwenda kwa style hii ya watendaji wakubwa wa serikali kwa kuongopea umma.

Na Kama wao wanasema ukweli kuwa tunazalisha sana umeme kuliko mahitaji basi unapaswa kumuwajibisha mkurugenzi wa Tanesco kwa kuongopa kuwa Kuna upungufu wa uzalishaji.

Ukiiacha hali hii kuendelea basi kuna hatari zaidi inakuja.

Hawakuongopa,ni ukweli kwamba kama hakuna Hali ya dharura kama ukame uwezo wa mitambo at full capacity ni Mkubwa kuliko mahitaji.

Sasa ukame umeondoa zaidi ya mgwat 300 sasa ziada ni mgwt 150 ,kwa hali hii lazima upungufu utokee.
 
Back
Top Bottom