chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Mwendelezo wa Riz, ni kawaida!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitarudishwa Kwa wenyewe soon.Riz anamiliki ardhi kubwa kila mkoa wenye hadhi.
Ana kijiji chake kati ya Olasiti na Burka Arusha ndani yake mijumba ya hatari....jirani yake
goroko77
Bi Faiza, unamfahamu mtuhumiwa?Hakuna mitu kama hicho, mfumo wa tra una uwezo wa kutrace toka siku bidhaa inaingia nchini mpaka inapouzwa / isipouzwa siku ya mwisho.
Au huyo kijana hizo tairi anaziunda mwenyewe?
Huu ulioletwa hapa ni ujinga tu ambao wajinga tu watauamini.
Na kama tra ya leo mwaka 2023 haina mfumo huo basi wanaofanya kazi tra wote ni wala rushwa wanaofanya makusudi kutoutumia mfumo inavyopaswa. Tena wanapokwenda madukani wanadiwe kuwa ni wezi, wale kichapo.
Hatari sn na aibu kubwaBalaa,na wale maofisa tayari wamekwisha kuhamishwa vituo vyao vya kazi.wamepelekwa mikoani huko.
Si ajabu walimuomba rushwaBalaa,na wale maofisa tayari wamekwisha kuhamishwa vituo vyao vya kazi.wamepelekwa mikoani huko.