DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.
Bi Faiza, unamfahamu mtuhumiwa?
 
Balaa,na wale maofisa tayari wamekwisha kuhamishwa vituo vyao vya kazi.wamepelekwa mikoani huko.
Si ajabu walimuomba rushwa
Maana maafisa wa tra waroho
Nao ...kwerikweri

Ehe wametupwa mkoa gani katavi au simba wanga huko

Ova
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…