Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu salam,
Rais, chawa wako na CCM hamuoni kama mnazidi kuididimiza soka mwishowe na yenyewe iwe kama ilivyokuwa ngumi kipindi kile?
TUmefikia hatu tunaombea tufungwe ili tu kuwakomoa CCM, lakini ukweli ni kwamba mnawaumiza hawa vijana na wengine wengi nyuma yao wanaotegemea soka kama sehemu yao kuu ya kujiingizia kipato na kuendesha maisha yao.
Watu wamepambana kufunga eti, "Tunamshukuru Rais Samia kwa kufuzu AFCON"🤨🤦♂️🤦♂️ kwani ye ndio aliingia kusakata kabumbu? Mwana FA toka nawe umezidi kuwa mpuuzi, a dissapointment kwa vijana na wanamichezo waliokuwa wanategemea mengi kutoka kwako.
Pia soma: Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON
Kufunga kazi unatoa rushwa wazi wazi na hao wapuuzi wengine TAKUKURU wapo tu! Sio tu siasa zinazidi kuwa za kupuuzi lakini tunaharibu sekta nyingine kwa kufumbia macho haya mambo, mwisho wa siku kutakuwa hakuna mchezo wa maana ambao unaweza kuwainua vijana kiuchumi wala kutuwakilisha vema kimataifa.
TFF wameufyata, hao FIFA waje watunyooshe tuu labda itasaidia kutuamsha!
Pia soma: Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?
Rais, chawa wako na CCM hamuoni kama mnazidi kuididimiza soka mwishowe na yenyewe iwe kama ilivyokuwa ngumi kipindi kile?
TUmefikia hatu tunaombea tufungwe ili tu kuwakomoa CCM, lakini ukweli ni kwamba mnawaumiza hawa vijana na wengine wengi nyuma yao wanaotegemea soka kama sehemu yao kuu ya kujiingizia kipato na kuendesha maisha yao.
Watu wamepambana kufunga eti, "Tunamshukuru Rais Samia kwa kufuzu AFCON"🤨🤦♂️🤦♂️ kwani ye ndio aliingia kusakata kabumbu? Mwana FA toka nawe umezidi kuwa mpuuzi, a dissapointment kwa vijana na wanamichezo waliokuwa wanategemea mengi kutoka kwako.
Pia soma: Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON
Kufunga kazi unatoa rushwa wazi wazi na hao wapuuzi wengine TAKUKURU wapo tu! Sio tu siasa zinazidi kuwa za kupuuzi lakini tunaharibu sekta nyingine kwa kufumbia macho haya mambo, mwisho wa siku kutakuwa hakuna mchezo wa maana ambao unaweza kuwainua vijana kiuchumi wala kutuwakilisha vema kimataifa.
TFF wameufyata, hao FIFA waje watunyooshe tuu labda itasaidia kutuamsha!
Pia soma: Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?