Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Majaliwa ni mchapakazi wa hali ya juu.Tuko
Tayari kumgharamia, lengo nchi isonge mbele
Kumbuka kuwa awamu ya tano JPM alimkwaza sana Majaliwa, watu kama Makonda na Kakoko hawakumheshimu.
Kaka wa bandari ikafikia hatua anamsema wazi kabisa akiwa amekaa na ndugu zake kwenye meza za waalikwa wa harusi, akisahau kuwa pembeni yake wamekaa watu wa TISS.
Makonda aliwadharau mawaziri ikafikia hatua Dr Mpango akaamua liwalo na liwe akajibu mapigo.
Majaliwa unaweza kumuweka kundi la Hayati lakini alikumbana na mikwaruzo ambayo Rais Samia anaijua vizuri.
Awamu hii anafanya kazi bila ya uwepo wa wambea na ma-snitch wa mkuu kabisa.