Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Majaliwa ni mchapakazi wa hali ya juu.Tuko
Tayari kumgharamia, lengo nchi isonge mbele
Kwani kama taifa kuhudumia MTU mmoja ni gharama sana!? Mbona tunahudumia Wabunge lukuki kazi yao kupiga makofi tu!? Pia Uviko 19!? Hiyo gharama unayosema isiwe kigezo!!!Kubadili Waziri Mkuu bila ya sababu zisizoepukika ni gharama sana, kwani tunakuwa na msururu wa mawaziri wakuu wastaafu wanaohudumiwa na serikali.
Sasa hivi tuna Salim, Warioba, Malecela, Msuya, Sumaye, Lowassa, Pinda. Wote ni mawaziri wakuu wqnaohudumiwa kwa stahiki za wastaafu.
Unataka kuongeza Majaliwa naye?
Kwa sababu hii, hutaona Waziri Mkuu akibadilishwa.
Kuna mambo ya kipuuzi sana yalikuwepo awamu ya tano. Rais Samia na Majaliwa wamevumilia mengi.Alikiwa akidharauliwa hata na kamishna wa TRA.
Majaliwa Tosha......Ni kawaida kwa Rais, mara tu anapoanza awamu yake ya uongozi, kuteua Waziri Mkuu wake,mtu anayemwamini,atakayeenda na falsafa yake, bila kumuwekea makundi.
Marais huwa wanaachana na Mawaziri wakuu wa watangulizi wao kuashiria zama mpya, pia kuvunja kundi la kisiasa la aliyemteua.
Ni wazi, lile kundi lililokuwa na imani na ndugu yule likiangalia katika safu ya uongozi, linaweza kujaribu kumtikisa mama kupitia kwa huyo. Maana safu nzima imebadilika. Na sasa wananchi wanamuelewa sana mama kuliko wakati mwingine.
Ni vyema wasimamizi wakuu wa Sera za mwendazake, sasa wampishe mama atusukie nchi ya kisasa ya kisomi na ya kitaasisi
#matege
Code-SSH-2025
Hii ume exaggerate....Kuna mambo ya kipuuzi sana yalikuwepo awamu ya tano. Rais Samia na Majaliwa wamevumilia mengi.
Rais atakuwa anawachora sana baadhi ya mawaziri wanaomsalimia wakiwa wanainamisha shingo, waliomnyanyapaa kwa uanamke wake.
Watu walijisahau kabisa yaani.
Mkuu, nawajua hao watu.Hii ume exaggerate....
Naam.....Aondoke yule jamaaa mnafiki sana. Hata hapo alipo haridhiki na mabadiliko ya Mama.
Gharama unazijua au unasemasema?Aendelee na huyuhuyu hadi awamu yake itakapoisha.
Gharama za kulea msururu wa mawaziri wakuu wastaafu ni mzigo kwetu...
AiseeeMajaliwa ni mchapakazi wa hali ya juu.
Kumbuka kuwa awamu ya tano JPM alimkwaza sana Majaliwa, watu kama Makonda na Kakoko hawakumheshimu.
Kaka wa bandari ikafikia hatua anamsema wazi kabisa akiwa amekaa na ndugu zake kwenye meza za waalikwa wa harusi, akisahau kuwa pembeni yake wamekaa watu wa TISS.
Makonda aliwadharau mawaziri ikafikia hatua Dr Mpango akaamua liwalo na liwe akajibu mapigo.
Majaliwa unaweza kumuweka kundi la Hayati lakini alikumbana na mikwaruzo ambayo Rais Samia anaijua vizuri.
Awamu hii anafanya kazi bila ya uwepo wa wambea na ma-snitch wa mkuu kabisa.
Angejiuzulu.Alikuwa akidharauliwa hata na kamishna wa TRA aliyepita.
Kwa JPM mngeyaongea hayo?Ni kawaida kwa Rais, mara tu anapoanza awamu yake ya uongozi, kuteua Waziri Mkuu wake,mtu anayemwamini,atakayeenda na falsafa yake, bila kumuwekea makundi.
Marais huwa wanaachana na Mawaziri wakuu wa watangulizi wao kuashiria zama mpya, pia kuvunja kundi la kisiasa la aliyemteua.
Ni wazi, lile kundi lililokuwa na imani na ndugu yule likiangalia katika safu ya uongozi, linaweza kujaribu kumtikisa mama kupitia kwa huyo. Maana safu nzima imebadilika. Na sasa wananchi wanamuelewa sana mama kuliko wakati mwingine.
Ni vyema wasimamizi wakuu wa Sera za mwendazake, sasa wampishe mama atusukie nchi ya kisasa ya kisomi na ya kitaasisi
#matege
Code-SSH-2025
Je kakiuka kifungu.chochote cha sheria?Sijakuelewa mkuu, ila Rais anapoapa, huwa anaapa kulinda mila na tamaduni, sisi tumeomba alinde utamaduni huu, wenyewe tumeshauzoea
Kakuambia hamtaki? Akitoka yeye mletewe mzanzibar mtalalamika MAJALIWA chapa kaziMkuu, sisis wanachi tunataka utamaduni uendelee, mama asilazimishwe kuwa na mtu asiyemtaka
Labda uwazindue Kwa hilo, maana hawana walijualoAendelee na huyuhuyu hadi awamu yake itakapoisha.
Gharama za kulea msururu wa mawaziri wakuu wastaafu ni mzigo kwetu...
Kwani Samia hakuwa sehemu ya hiyo Serikali?.Naunga Mkono. Rais Samia teua Waziri Mkuu wako huyu alisimamia serikali iliyofanya uonevu mwingi sana kwa raia zaidi iliyowahi kuwepo hapa Tanzania hapo kabla. Mpumzishe kama ulivyofanya kwa Bashiru
Kwani uongo?Hii ume exaggerate....
Ata Slogan ya Kazi iendelee aiche basi maana sio yakwake pia kaikuta tu ilianza kutumika katika kampeni 2020Naunga mkono hoja ili "KAZI IENDELEE".
Aah, wapi,,yule kassimu pale amefit,,huyo ndo atakuwa waziri mkuu aliekaa madarakani kwa kipindi kirefu kuliko wote,,hstuwezi kuwa tunastaafisha mawaziri wakuu kila miaka mitatu,,gharama za kuhudumia mawaziri wakuu,wastaafu si mchezoNaunga Mkono. Rais Samia teua Waziri Mkuu wako huyu alisimamia serikali iliyofanya uonevu mwingi sana kwa raia zaidi iliyowahi kuwepo hapa Tanzania hapo kabla. Mpumzishe kama ulivyofanya kwa Bashiru
Tena sasa ndo yuko huru anapiga kazi vizuri mnoMajaliwa ni mchapakazi wa hali ya juu.
Kumbuka kuwa awamu ya tano JPM alimkwaza sana Majaliwa, watu kama Makonda na Kakoko hawakumheshimu.
Kaka wa bandari ikafikia hatua anamsema wazi kabisa akiwa amekaa na ndugu zake kwenye meza za waalikwa wa harusi, akisahau kuwa pembeni yake wamekaa watu wa TISS.
Makonda aliwadharau mawaziri ikafikia hatua Dr Mpango akaamua liwalo na liwe akajibu mapigo.
Majaliwa unaweza kumuweka kundi la Hayati lakini alikumbana na mikwaruzo ambayo Rais Samia anaijua vizuri.
Awamu hii anafanya kazi bila ya uwepo wa wambea na ma-snitch wa mkuu kabisa.