Pre GE2025 Rais Samia na CCM yenu msifurahie kamwe ombwe hili la uchawa lililotamalaki, kama nchi tumepoteza pakubwa

Pre GE2025 Rais Samia na CCM yenu msifurahie kamwe ombwe hili la uchawa lililotamalaki, kama nchi tumepoteza pakubwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Kuna namna nchi yetu ipo jalalani tena pakubwa mno.

Jana nilipoona mjadala kati ya Chadema na wahariri wa vyombo vya habari nikajikuta nakumbuka haya:

1. Hivi mara ya mwisho kuwa na mjadala wa aina hii ilikuwa lini? Ipo wapi mijadala ya Enzi za Ukumbi wa Nkurumah, enzi za kina Shivji kina Slaa na wengine?

2. Zipo wapi mada za mustakabali wa nchi zilizotamalaki enzi za utawala wa JK?

3. Wako wapi waandishi wenye weledi wa kudadavua mambo kama wa enzi zile? Ni hawa kutwa kucha unasikia mambo ya ball control sijui force nine na ujinga ujinga mwingine wa Simba na Yanga kutwa nzima?

4. Siku hizi Rais wa nchi anapost anakula vitumbua na anaandika nakula vitumbua. Kinachofuata ni mijadala na endorsements za ujinga ujinga.

5. Ule mtandao wa Twitter umejaa watanzania wajinga kweli kweli. Mada wanazopost kule ni za kijinga kijinga

Samia, CCM na machawa msifurahie hali hii. Kinachoenda kutokea ni kutawaliwa kifikra na nchi nyingine maana sisi tutakuwa tumeshapoteza uwezo wetu wote wa akili.

Samia na machawa kamwe msifurqh
 
Umekariri......

Urais wa baba wa taifa hayati JKN haukushuhudia maendeleo makubwa ya TEHAMA na AKILI MNEMBA...haiwezekani maisha yake binafsi pale ikulu yalifafanana/yafanane na ya rais Samia Suluhu Hassan.....

Unataka tumthamini mh.Rais Samia kwa kumuona akicheza BAO kama alivyofanya hayati baba wa taifa na majirani zake wa Mikocheni?!!

Si akina Jomo Kenyatta ,Mandela na Kaunda walitumia MITANDAO YA KIJAMII...kwani haikuwepo.....

Vijana wao nao hawakutumia MITANDAO YA KIJAMII.....sasa unataka kusema vijana hao walikuwa ni bora zaidi ya VIJANA SISI na viongozi wetu akina Rais Samia ?!!!

Mijadala hiyo ya chuo kikuu Nkurumah iliwachochea akina Museveni kudai yao.....sasa hivi Museveni yuko ikulu na mwanaye Jenerali Muhoozi Kaneirugaba ni mtumiaji mzuri sana wa TWITTER......

Tusikariri ,tufikirie nje ya boksi ...maisha yanakwenda kasi sana.....

#JMT milele dumu !
 
Kuna namna nchi yetu ipo jalalani tena pakubwa mno.

Jana nilipoona mjadala kati ya Chadema na wahariri wa vyombo vya habari nikajikuta nakumbuka haya:
1. Hivi mara ya mwisho kuwa na mjadala wa aina hii ilikuwa lini? Ipo wapi mijadala ya Enzi za Ukumbi wa Nkurumah, enzi za kina Shivji kina Slaa na wengine?
2. Zipo wapi mada za mustakabali wa nchi zilizotamalaki enzi za utawala wa JK?
3. Wako wapi waandishi wenye weledi wa kudadavua mambo kama wa enzi zile? Ni hawa kutwa kucha unasikia mambo ya ball control sijui force nine na ujinga ujinga mwingine wa Simba na Yanga kutwa nzima?
4. Siku hizi Rais wa nchi anapost anakula vitumbua na anaandika nakula vitumbua. Kinachofuata ni mijadala na endorsements za ujinga ujinga.
5. Ule mtandao wa Twitter umejaa watanzania wajinga kweli kweli. Mada wanazopost kule ni za kijinga kijinga

Samia, CCM na machawa msifurahie hali hii. Kinachoenda kutokea ni kutawaliwa kifikra na nchi nyingine maana sisi tutakuwa tumeshapoteza uwezo wetu wote wa akili.

Samia na machawa kamwe msifurqh
Crap
 
Kuna namna nchi yetu ipo jalalani tena pakubwa mno.

Jana nilipoona mjadala kati ya Chadema na wahariri wa vyombo vya habari nikajikuta nakumbuka haya:
1. Hivi mara ya mwisho kuwa na mjadala wa aina hii ilikuwa lini? Ipo wapi mijadala ya Enzi za Ukumbi wa Nkurumah, enzi za kina Shivji kina Slaa na wengine?
2. Zipo wapi mada za mustakabali wa nchi zilizotamalaki enzi za utawala wa JK?
3. Wako wapi waandishi wenye weledi wa kudadavua mambo kama wa enzi zile? Ni hawa kutwa kucha unasikia mambo ya ball control sijui force nine na ujinga ujinga mwingine wa Simba na Yanga kutwa nzima?
4. Siku hizi Rais wa nchi anapost anakula vitumbua na anaandika nakula vitumbua. Kinachofuata ni mijadala na endorsements za ujinga ujinga.
5. Ule mtandao wa Twitter umejaa watanzania wajinga kweli kweli. Mada wanazopost kule ni za kijinga kijinga

Samia, CCM na machawa msifurahie hali hii. Kinachoenda kutokea ni kutawaliwa kifikra na nchi nyingine maana sisi tutakuwa tumeshapoteza uwezo wetu wote wa akili.

Samia na machawa kamwe msifurqh
Kama mambo yanaenda vizuri ulitaka tupost malumbano?
 
Back
Top Bottom