Salaam,
Juzi kati, nikiwa naperuzi miradi iliyotekelezwa na marais wa africa katika nchi zao, nimebaini Rais Samia na hayati Magufuli ni marais waliotekeleza miradi mingi zaidi kuliko Marais wote Afrika.
Hongera Rais Samia, wewe ni kiongozi bora wala usitishwe na kelele za wanaokubeza, changamoto za kiutawala zipo dunia nzima na ni sehem ya utawala.
Soma Pia: Balozi Nchimbi: Kazi kubwa anayoifanya Rais Samia ni moja ya kumuenzi na kumheshimisha Hayati Magufuli
Juzi kati, nikiwa naperuzi miradi iliyotekelezwa na marais wa africa katika nchi zao, nimebaini Rais Samia na hayati Magufuli ni marais waliotekeleza miradi mingi zaidi kuliko Marais wote Afrika.
Hongera Rais Samia, wewe ni kiongozi bora wala usitishwe na kelele za wanaokubeza, changamoto za kiutawala zipo dunia nzima na ni sehem ya utawala.
Soma Pia: Balozi Nchimbi: Kazi kubwa anayoifanya Rais Samia ni moja ya kumuenzi na kumheshimisha Hayati Magufuli