darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Hili jukumu unapaswa ulifanye wewe kwa maana unaonekana una uhaba wa taarifa.Chunguza vizuri, kuna marais wanatwlekeza miradi mizito zaidi, tofauti ni hawaongei wala kujipigia chapuo. Africa ni kubwa na ina marais wengi, zunguka tena uje uandike hapa