Chunguza vizuri, kuna marais wanatwlekeza miradi mizito zaidi, tofauti ni hawaongei wala kujipigia chapuo. Africa ni kubwa na ina marais wengi, zunguka tena uje uandike hapaSalaam,
Juz kati, nikiwa naperuzi miradi iliyotekelezwa na marais wa africa ktk nchi zao, nimebaini rais samia na magufuli ni marais waliotekeleza miradi mingi zaidi kuliko marais wote africa.
Hongera mama samia, wewe ni kiongozi bora wala usitishwe na kelele za wanaokubeza, changamoto za kiutawala zipo dunia nzima na ni sehem ya utawala.
Sijakurupuka.Chunguza vizuri, kuna marais wanatwlekeza miradi mizito zaidi, tofauti ni hawaongei wala kujipigia chapuo. Africa ni kubwa na ina marais wengi, zunguka tena uje uandike hapa
Mboana umetoa Hongera kwa mmoja!!! 😀Salaam,
Juz kati, nikiwa naperuzi miradi iliyotekelezwa na marais wa africa ktk nchi zao, nimebaini rais samia na magufuli ni marais waliotekeleza miradi mingi zaidi kuliko marais wote africa.
Hongera mama samia, wewe ni kiongozi bora wala usitishwe na kelele za wanaokubeza, changamoto za kiutawala zipo dunia nzima na ni sehem ya utawala.
Ya mwendazake utaipokea kwa niaba yake?Mboana umetoa Hongera kwa mmoja!!! 😀
KAMWE hawezi kumfikia/kumkaribia JP.MAGUFULI,na mnazidi kuvurunda [ccm]kwa kumlinganisha huyu mama na JPM kwa uwajibikaji na utekelezaji wa miradi.Salaam,
Juzi kati, nikiwa naperuzi miradi iliyotekelezwa na marais wa africa katika nchi zao, nimebaini Rais Samia na hayati Magufuli ni marais waliotekeleza miradi mingi zaidi kuliko Marais wote Afrika.
Hongera Rais Samia, wewe ni kiongozi bora wala usitishwe na kelele za wanaokubeza, changamoto za kiutawala zipo dunia nzima na ni sehem ya utawala.
Soma Pia: Balozi Nchimbi: Kazi kubwa anayoifanya Rais Samia ni moja ya kumuenzi na kumheshimisha Hayati Magufuli
Ukiachana na propaganda za mtandaon samia anakubalika sanaKAMWE hawezi kumfikia/kumkaribia JP.MAGUFULI,na mnazidi kuvurunda [ccm]kwa kumlinganisha huyu mama na JPM kwa uwajibikaji na utekelezaji wa miradi.
Hii ni mbinu yenu ccm ya kumsafisha kiongozi wenu kwa sifa za JPM, lakini haitawafaa, kwasababu tayari ameshajipambanua kwa wananchi kuwa yeye ni nani na wa mlengo upi!
Msipoteze muda na nguvu zenu kumsafisha,''mioyoni mwa wananchi/Watanzania,hakubaliki tena.
umenena Ukweli bayana, na tena Ukweli mtupu, na Mwenyezi Mungu Akubariki Sana, Aimen 🙏Salaam,
Juzi kati, nikiwa naperuzi miradi iliyotekelezwa na marais wa africa katika nchi zao, nimebaini Rais Samia na hayati Magufuli ni marais waliotekeleza miradi mingi zaidi kuliko Marais wote Afrika.
Hongera Rais Samia, wewe ni kiongozi bora wala usitishwe na kelele za wanaokubeza, changamoto za kiutawala zipo dunia nzima na ni sehem ya utawala.
Soma Pia: Balozi Nchimbi: Kazi kubwa anayoifanya Rais Samia ni moja ya kumuenzi na kumheshimisha Hayati Magufuli
Toa jina magufuli. Magufuli hajawahi kutekeleza mradi hata mmja. Toa mfanoSalaam,
Juzi kati, nikiwa naperuzi miradi iliyotekelezwa na marais wa africa katika nchi zao, nimebaini Rais Samia na hayati Magufuli ni marais waliotekeleza miradi mingi zaidi kuliko Marais wote Afrika.
Hongera Rais Samia, wewe ni kiongozi bora wala usitishwe na kelele za wanaokubeza, changamoto za kiutawala zipo dunia nzima na ni sehem ya utawala.
Soma Pia: Balozi Nchimbi: Kazi kubwa anayoifanya Rais Samia ni moja ya kumuenzi na kumheshimisha Hayati Magufuli
Kwani jpm alitekeleza mradi gani. Leta mfano hata mmoja tuKAMWE hawezi kumfikia/kumkaribia JP.MAGUFULI,na mnazidi kuvurunda [ccm]kwa kumlinganisha huyu mama na JPM kwa uwajibikaji na utekelezaji wa miradi.
Hii ni mbinu yenu ccm ya kumsafisha kiongozi wenu kwa sifa za JPM, lakini haitawafaa, kwasababu tayari ameshajipambanua kwa wananchi kuwa yeye ni nani na wa mlengo upi!
Msipoteze muda na nguvu zenu kumsafisha,''mioyoni mwa wananchi/Watanzania,hakubaliki tena.
Dawa ya wapuuz ni kuwapuuza.Hilo linaweza lisieleweke kwa vile wanaofanya kazi ya kukosoa wanazingatia zaidi kwenye wapi pabovu, na hawazingatii jitihada inayowekwa.
Just imagine yupo mtu yeye kajiweka tayari kwa ajili ya kuangalia loopholes tu, fikiria ni lini utapatia mbele ya mtu huyu? so ni specialisation tu katika siasa.
Miradi mingi wameanza wakiwa pamoja.Kwani jpm alitekeleza mradi gani. Leta mfano hata mmoja tu
Miradi anayoitekeleza rais samia wameianzisha pamoja awam ya 5Toa jina magufuli. Magufuli hajawahi kutekeleza mradi hata mmja. Toa mfano
Aimen, dua nyingi kwa jemedari wetu mama samia the great.umenena Ukweli bayana, na tena Ukweli mtupu, na Mwenyezi Mungu Akubariki Sana, Aimen
Utekelezaj wa miradi ndo umewaweka pamoja na sio kuwafananisha kama usemavyo.Usimfananishe Magufuli na Samia.
Uchaguzi umekaribia mnantaka kutembelea nyota ya shujaa.
Samia mfananishe na Kikwete.
Hawana mfanano hata kidogo.
Yaani wanatofautiana mbaaaali kama mbingu na ardhi.
R.i.P John..