Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Hahaaaaaa, umesababisha nipaliwe na chai mkuu. Umenichekesha sana.Unawajua wasukuma mkuu au unawasikiaga tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaaa, umesababisha nipaliwe na chai mkuu. Umenichekesha sana.Unawajua wasukuma mkuu au unawasikiaga tu?
Inaonyesha Jesca ni binti mnyenyekevu kama mama yakeMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.
View attachment 2868776
Hakika, ona tabasamu zuri kama niniHuyu dada inaonyesha hana mambo mengi
Safari hii kutakuwa na drama za kufa mtu.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.
View attachment 2868776
Wasukuma wana kisasi wakiamua..ogopaSafari hii kutakuwa na drama za kufa mtu.
Tunajua kabisaa kuwa aliyepo anamdis sana aliyemtangulia ndo maana miaka miwili ya mwanzo hakuacha kumnanga kila akipanda jukwaani...
Leo ndugu wa marehemu ndo wanatumika kusaka uhalali
wanamchekea tu.Wasukuma wana kisasi wakiamua..ogopa
Huyu ndio aliyesoma yudomu
Ukweli mara 100 kuwa na mshamba mwingine lakini sio Samia.wanamchekea tu.
Siku zinakaribia zinapigwa kura za hasira na kisasi
Chombo ya jiwe 😍Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.
View attachment 2868776
Hongera zake, nasikia huko kuna mtori mzuri!Ni boss mtoto hapo REA....
Kuna siku atampa DAS au RAS soon...Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.
View attachment 2868776
wife material, vijana mpo humu?Huyu dada inaonyesha hana mambo mengi
Familia Yako Huwa unaitamkia haya maneno?Oh Jesca...you were born from a very strong man. Nikikuona namkubuka mwamba wetu. Nakuombea kila lililo jema liambatane nawe ktk maisha yako kulipia nguvu aliyotumia mzee wako kulijenga taifa hili
Hakuna joto Zanzibar kwa siku 3 hiziUvaaji huu wa sweta zito na joto la Sasa znz imekaaje?
Hawana uwezo huo!Nchi hii kura hazijawahi kumuweka rais madarakani Kwa hiyo kusema mtapiga kura za hisira ni kujidanganya tu.wanamchekea tu.
Siku zinakaribia zinapigwa kura za hasira na kisasi
Huyo ndio alipataga zero ila akawa anasoma Udom 😁😁Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.
View attachment 2868776
Kapiga zake msweta wa kisukumaHuyu dada inaonyesha hana mambo mengi