Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Nimezoom mkono wa Samia, ana kidonda kidoleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua AC kwenye gari analotumia na mazingira anayoshinda mkuu?Uvaaji huu wa sweta zito na joto la Sasa znz imekaaje?
Mkuu usipende kuchukulia mambo serious sana. Mimi mwenyewe ni msukuma.Yaani unajikuta mjanja wa mjini ila ukifatiliwa sana utakuta wewe na uyo unayemsema amekuzidi kila kitu
Uyo mtoto wa magufuli kazaliwa osterbey Baba akiwa waziri
Wewe hata uwezo wa kuonanana na mkuu wa wilaya huna
Ila kazuri...MCHAWI KOMWE
AminSana,ana moyo mweupe mno.Abarikiwe
Anakuwaga na lipete kama kipepeo labda ndo yenyewe.....MAMA YAO kabisa awe na kidonda na anavyojua kudeka hivoNimezoom mkono wa Samia, ana kidonda kidoleni
Ha ha ha kwa kuunga unga..Huyu ndio aliyesoma yudomu
Me simo mkuuIla kazuri...
Kana Smile kama Mama yake....
Kila Kitu Anachoona Watu Wana Comment Anakibeba Kwa Hasira Na Anataka KupambanMkuu usipende kuchukulia mambo serious sana. Mimi mwenyewe ni msukuma.
MsukumaUvaaji huu wa sweta zito na joto la Sasa znz imekaaje?
Huyu mtot ateuliwe awe viti maalumu[emoji1787][emoji23][emoji23]Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.
View attachment 2868776
Jamani khaaa.Yaani unajikuta mjanja wa mjini ila ukifatiliwa sana utakuta wewe na uyo unayemsema amekuzidi kila kitu
Uyo mtoto wa magufuli kazaliwa osterbey Baba akiwa waziri
Wewe hata uwezo wa kuonanana na mkuu wa wilaya huna