Rais Samia na Jesca Magufuli

Yaani unajikuta mjanja wa mjini ila ukifatiliwa sana utakuta wewe na uyo unayemsema amekuzidi kila kitu

Uyo mtoto wa magufuli kazaliwa osterbey Baba akiwa waziri

Wewe hata uwezo wa kuonanana na mkuu wa wilaya huna
Mkuu usipende kuchukulia mambo serious sana. Mimi mwenyewe ni msukuma.
 
Huyu mtot ateuliwe awe viti maalumu[emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Yaani unajikuta mjanja wa mjini ila ukifatiliwa sana utakuta wewe na uyo unayemsema amekuzidi kila kitu

Uyo mtoto wa magufuli kazaliwa osterbey Baba akiwa waziri

Wewe hata uwezo wa kuonanana na mkuu wa wilaya huna
Jamani khaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…