Rais Samia na Makamu wa Rais Philipo Mpango mtuongoze milele hapa Tanzania

Rais Samia na Makamu wa Rais Philipo Mpango mtuongoze milele hapa Tanzania

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Rais Wetu Samia Makamu Philipo Mpango mtuongoze Milele hapa Tanzania

Hiki ni kibwagizo cha wimbo wa kikundi cha ngoma na uimbaji cha Buyegu , kwenye tamasha la Utamaduni Mwanza.

Kimenipa maswali mengi.

1. Kuna ujumbe tunaandaliwa kisaikolojia?
2. Wandaanji wa wimbo hawajui wanacho imba ama wamedhamilia?
3. Huo wimbo/ujumbe haujapitia mikononi mwa wahariri?
4. System haijafanya vetting ya hizi nyimbo? , Kwa nini wasifanye, ikitokea siku wimbo unaimbwa kwa kumtukana rais mbele ya umma watafanya nini?. In fact wametukana.

Harafu muimbaji kaimba hicho kibwagizo mara nyingi sana. Anyways hii nchi imelala sana.
 
Mkopo Tuliopewa Na Mabeberu Yameamua Tanzania Sasa Kuanza Kutangaza Takwimu Za Maambukizi Ya COVID 19
Kweli Bwana Bure Hayupo Kula Uliwe

Wapi
Jafo
Kabudi
Msukuma
Program Ya Nyungu Chali
 
Kikundi kilichoimba huo wimbo kimefungisha
Nalog off
 
Mwendazake alikuwa na mipango ya Kimobutu Seseko Mwenyezi Mungu akamdaka fasta. Sasa hivi kazungushiwa mabati hata upepo wa kisulisuli asipate.

Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mkopo Tuliopewa Na Mabeberu Yameamua Tanzania Sasa Kuanza Kutangaza Takwimu Za Maambukizi Ya COVID 19
Kweli Bwana Bure Hayupo Kula Uliwe

Wapi
Jafo
Kabudi
Msukuma
Program Ya Nyungu Chali
Takwimu zimeanza kutangazwa.?
Beberu kaona hatuogopi anatafuta namna ya kuleta hofu na kuhalalisha lockdown.
 
Back
Top Bottom