#COVID19 Rais Samia na Serikali, chanjo ya Johnson & Johnson inahitaji mtu apate tena booster

#COVID19 Rais Samia na Serikali, chanjo ya Johnson & Johnson inahitaji mtu apate tena booster

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Kuhusu chanjo ya Johnson and Johnson, Leo nimesikiliza vizuri Serikali ikizungumzia hili suala na Mh. Raisi amezungumza kuwa unapata chanjo moja tu.

Hapa kuna jambo halipo sawa, kwa taarifa zinazotolewa na vyombo vya habari ambavyo ni credible Kama New York Times, Reuters, daily mail vinasema chanjo moja ya Johnson and Johnson haiwezi kupambana na virusi vipya vya corona hivyo inahitaji watu wapate booster.

Hizi ni taarifa muhimu ambazo zimeripotiwa na vyombo vikubww vya habari, wamesema wazi kuwa hii chanjo ya J and J ipo less effective kwenye hivi virusi vipya.

Hvyo kwa unyenyekevu nikiwa Kama mtanzania ambae napenda kukosoa kwa staha naomba serikali iangalie hili kwa kuwa isije baadae mkawaambia tena watu kuwa wanahitaji hizo booster ikiwa sasa mmeshawaambia chanjo moja inatosha.
Chini nimeweka taarifa hizo kutoka kwenye hivyo vyombo vya habari

N.B
Naiomba pia Serikali iache watu wahoji wasiwasi wao kwa kuwa hili suala la wasiwasi wa chanjo lipo dunia nzima.

Hata huko US (Marekani) wanapotengeneza hizo chanjo Kuna watu wengi tu wamezikataa.

Report zinasema 20% ya wamarekani wamekataa hizi chanjo.

20% ya wamarekani ni sawa na watu milioni 65, hivyo Kuna watu millioni 65 Marekani wamekataa chanjo. Taarifa ipo chini
Hivyo suala la kukataa chanjo halipo tu Tanzania bali hadi huko.

Pia ni kweli kuwa wapo waliopata chanjo na bado wakapata corona na wakafa pia lakini si number kubwa(rare cases).

Hivyo kwa unyenyekevu niombe serikali iache watu wenye wasiwasi wawe huru, Ila wakipata elimu kwa ridhaa yao wataenda kupata chanjo.

Screenshot_20210728-133130_1.jpg
Screenshot_20210728-132941_1.jpg
Screenshot_20210728-132107_1.jpg
Screenshot_20210728-131647_1.jpg
Screenshot_20210728-130841_1.jpg
 
Hata hivyo vyombo ulivyonukuu havina uhakika kama hiyo "booster" inahitajika. Ndo maana wakasema "may be needed"
Soma vizuri Reuters na daily mail wameeleza vizuri tu.
Ndio maana unaona mwisho wakasema experts already taking
 
Haya mambo ya chanjo bado yanafanyiwa utafiti, siku si nyingi utasikia imevumbuliwa chanjo mpya na mtaanza kudungwa upya.

Anyways kinga ni bora jamani... shime mkachanjwe sasa.
 
Ndo maana msemaji mkuu wa serikali kasema Serikali haitawajibika kwa matokeo baada ya chanjo. Vaccinate at your own risk.
Nilichofanya ni kukumbusha tu kuwa hii chanjo moja haitoshi
 
Ndo Ujue hawajui wanaloliongea ,wanasoma script,Pfizer na Moderna na wenyewe wataongeza booster ya tatu hivi karibuni,,,,Viongozi wetu wapo out of phase sanaaa
Nimeshangaa sana kuona hili hawalijui
 
Kuhusu chanjo ya Johnson and Johnson, Leo nimesikiliza vizuri Serikali ikizungumzia hili suala na Mh. Raisi amezungumza kuwa unapata chanjo moja tu.

Hapa kuna jambo halipo sawa, kwa taarifa zinazotolewa na vyombo vya habari ambavyo ni credible Kama New York Times, Reuters, daily mail vinasema chanjo moja ya Johnson and Johnson haiwezi kupambana na virusi vipya vya corona hivyo inahitaji watu wapate booster.

Hizi ni taarifa muhimu ambazo zimeripotiwa na vyombo vikubww vya habari, wamesema wazi kuwa hii chanjo ya J and J ipo less effective kwenye hivi virusi vipya.

Hvyo kwa unyenyekevu nikiwa Kama mtanzania ambae napenda kukosoa kwa staha naomba serikali iangalie hili kwa kuwa isije baadae mkawaambia tena watu kuwa wanahitaji hizo booster ikiwa sasa mmeshawaambia chanjo moja inatosha.
Chini nimeweka taarifa hizo kutoka kwenye hivyo vyombo vya habari

N.B
Naiomba pia Serikali iache watu wahoji wasiwasi wao kwa kuwa hili suala la wasiwasi wa chanjo lipo dunia nzima.

Hata huko US (Marekani) wanapotengeneza hizo chanjo Kuna watu wengi tu wamezikataa.

Report zinasema 20% ya wamarekani wamekataa hizi chanjo.

20% ya wamarekani ni sawa na watu milioni 65, hivyo Kuna watu millioni 65 Marekani wamekataa chanjo. Taarifa ipo chini
Hivyo suala la kukataa chanjo halipo tu Tanzania bali hadi huko.

Pia ni kweli kuwa wapo waliopata chanjo na bado wakapata corona na wakafa pia lakini si number kubwa(rare cases).

Hivyo kwa unyenyekevu niombe serikali iache watu wenye wasiwasi wawe huru, Ila wakipata elimu kwa ridhaa yao wataenda kupata chanjo.



Acha kupotosha mpaka sasa hawana uhakika kwasababu virus inabadilika lakini chanjo mpaka sasa inakinga kama walivyofikiri. Hivi ni vitu vya huko mbele. Lakini hiyo booster hata huko mbele ni wale wazee wenye magojwa makubwa na upungufu wa kinga mfano wenye watu wenye cancer.

Hakuna uhakika miaka miwili ijayo itakuwaje hivyo chanjo yeyote mpaka sasa hatujui kama baada ya miaka miwili virus itakuwa imebadilika kwa kiasi gani. Na kuna tofauti unaweza kupata maambukizi hata sasa lakini kikubwa ukipata inakuwa kama homa za mafua za kawaida lakini kusema kama vile kuna ushahidi sio kweli.

Hii chanjo ni sindano moja tu kwa sasa huko mbele ukihitaji sindano ya pili sioni kama ni tatizo hasa kwa wale wenye magojwa makubwa. Chanjo nyingine ni sindano mbili
 
Acha kupotosha mpaka sasa hawana uhakika kwasababu virus inabadilika lakini chanjo mpaka sasa inakinga kama walivyofikiri. Hivi ni vitu vya huko mbele. Lakini hiyo booster hata huko mbele ni wale wazee wenye magojwa makubwa na upungufu wa kinga mfano wenye watu wenye cancer.

Hakuna uhakika miaka miwili ijayo itakuwaje hivyo chanjo yeyote mpaka sasa hatujui kama baada ya miaka miwili virus itakuwa imebadilika kwa kiasi gani. Na kuna tofauti unaweza kupata maambukizi hata sasa lakini kikubwa ukipata inakuwa kama homa za mafua za kawaida lakini kusema kama vile kuna ushahidi sio kweli.

Hii chanjo ni sindano moja tu kwa sasa huko mbele ukihitaji sindano ya pili sioni kama ni tatizo hasa kwa wale wenye magojwa makubwa. Chanjo nyingine ni sindano mbili
Hakuna nilipopotosha, na sijui kwa nini mnakimbilia kusema watu wanapotosha
Hapo nimekuwekea taaarifa kutoka kwenye hizo media kubwa, na wamesema hapo kuwa chanjo.ya Johnson and Johnson ipo less effective kwenye kirusi kipya
Pia nadhani umesoma hapo kuwa inahitaji booster, hakuna waliposema eti booster ni kwa ajili ya wazee.
Nadhani hizi taarifa zimekuumiza sana, Ila bahati mbaya zimetolewa na hukohuko duniani
Pia kuhusu kusema eti ukiwa na chanjo ukipata corona inakuwa Kama mafua, hapo umepuyanga
Kwani hata sasa hapa kwetu Tz watu wanapata corona na inakuwa Kama mafua tu wala hakuna anayelazwa na pia wapo wanaopata corona wanalazwa na kufa
Hivyohivyo kwa waliopata chanjo huko, wapo wanaopata Kama mafua na kupona na wapo wanaolazwa na wengine kufa(nimekuwekea hito taarifa hapo)
 
Kuhusu chanjo ya Johnson and Johnson, Leo nimesikiliza vizuri Serikali ikizungumzia hili suala na Mh. Raisi amezungumza kuwa unapata chanjo moja tu.

Hapa kuna jambo halipo sawa, kwa taarifa zinazotolewa na vyombo vya habari ambavyo ni credible Kama New York Times, Reuters, daily mail vinasema chanjo moja ya Johnson and Johnson haiwezi kupambana na virusi vipya vya corona hivyo inahitaji watu wapate booster.

Hizi ni taarifa muhimu ambazo zimeripotiwa na vyombo vikubww vya habari, wamesema wazi kuwa hii chanjo ya J and J ipo less effective kwenye hivi virusi vipya.

Hvyo kwa unyenyekevu nikiwa Kama mtanzania ambae napenda kukosoa kwa staha naomba serikali iangalie hili kwa kuwa isije baadae mkawaambia tena watu kuwa wanahitaji hizo booster ikiwa sasa mmeshawaambia chanjo moja inatosha.
Chini nimeweka taarifa hizo kutoka kwenye hivyo vyombo vya habari

N.B
Naiomba pia Serikali iache watu wahoji wasiwasi wao kwa kuwa hili suala la wasiwasi wa chanjo lipo dunia nzima.

Hata huko US (Marekani) wanapotengeneza hizo chanjo Kuna watu wengi tu wamezikataa.

Report zinasema 20% ya wamarekani wamekataa hizi chanjo.

20% ya wamarekani ni sawa na watu milioni 65, hivyo Kuna watu millioni 65 Marekani wamekataa chanjo. Taarifa ipo chini
Hivyo suala la kukataa chanjo halipo tu Tanzania bali hadi huko.

Pia ni kweli kuwa wapo waliopata chanjo na bado wakapata corona na wakafa pia lakini si number kubwa(rare cases).

Hivyo kwa unyenyekevu niombe serikali iache watu wenye wasiwasi wawe huru, Ila wakipata elimu kwa ridhaa yao wataenda kupata chanjo.

Usishangae taarifa hii kufutwa soon, serikali haiko rafiki na genuine challenges. Inapenda habari ya kuisifia hata kwa mabovu.
 
Back
Top Bottom