Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Kuhusu chanjo ya Johnson and Johnson, Leo nimesikiliza vizuri Serikali ikizungumzia hili suala na Mh. Raisi amezungumza kuwa unapata chanjo moja tu.
Hapa kuna jambo halipo sawa, kwa taarifa zinazotolewa na vyombo vya habari ambavyo ni credible Kama New York Times, Reuters, daily mail vinasema chanjo moja ya Johnson and Johnson haiwezi kupambana na virusi vipya vya corona hivyo inahitaji watu wapate booster.
Hizi ni taarifa muhimu ambazo zimeripotiwa na vyombo vikubww vya habari, wamesema wazi kuwa hii chanjo ya J and J ipo less effective kwenye hivi virusi vipya.
Hvyo kwa unyenyekevu nikiwa Kama mtanzania ambae napenda kukosoa kwa staha naomba serikali iangalie hili kwa kuwa isije baadae mkawaambia tena watu kuwa wanahitaji hizo booster ikiwa sasa mmeshawaambia chanjo moja inatosha.
Chini nimeweka taarifa hizo kutoka kwenye hivyo vyombo vya habari
N.B
Naiomba pia Serikali iache watu wahoji wasiwasi wao kwa kuwa hili suala la wasiwasi wa chanjo lipo dunia nzima.
Hata huko US (Marekani) wanapotengeneza hizo chanjo Kuna watu wengi tu wamezikataa.
Report zinasema 20% ya wamarekani wamekataa hizi chanjo.
20% ya wamarekani ni sawa na watu milioni 65, hivyo Kuna watu millioni 65 Marekani wamekataa chanjo. Taarifa ipo chini
Hivyo suala la kukataa chanjo halipo tu Tanzania bali hadi huko.
Pia ni kweli kuwa wapo waliopata chanjo na bado wakapata corona na wakafa pia lakini si number kubwa(rare cases).
Hivyo kwa unyenyekevu niombe serikali iache watu wenye wasiwasi wawe huru, Ila wakipata elimu kwa ridhaa yao wataenda kupata chanjo.
Hapa kuna jambo halipo sawa, kwa taarifa zinazotolewa na vyombo vya habari ambavyo ni credible Kama New York Times, Reuters, daily mail vinasema chanjo moja ya Johnson and Johnson haiwezi kupambana na virusi vipya vya corona hivyo inahitaji watu wapate booster.
Hizi ni taarifa muhimu ambazo zimeripotiwa na vyombo vikubww vya habari, wamesema wazi kuwa hii chanjo ya J and J ipo less effective kwenye hivi virusi vipya.
Hvyo kwa unyenyekevu nikiwa Kama mtanzania ambae napenda kukosoa kwa staha naomba serikali iangalie hili kwa kuwa isije baadae mkawaambia tena watu kuwa wanahitaji hizo booster ikiwa sasa mmeshawaambia chanjo moja inatosha.
Chini nimeweka taarifa hizo kutoka kwenye hivyo vyombo vya habari
N.B
Naiomba pia Serikali iache watu wahoji wasiwasi wao kwa kuwa hili suala la wasiwasi wa chanjo lipo dunia nzima.
Hata huko US (Marekani) wanapotengeneza hizo chanjo Kuna watu wengi tu wamezikataa.
Report zinasema 20% ya wamarekani wamekataa hizi chanjo.
20% ya wamarekani ni sawa na watu milioni 65, hivyo Kuna watu millioni 65 Marekani wamekataa chanjo. Taarifa ipo chini
Hivyo suala la kukataa chanjo halipo tu Tanzania bali hadi huko.
Pia ni kweli kuwa wapo waliopata chanjo na bado wakapata corona na wakafa pia lakini si number kubwa(rare cases).
Hivyo kwa unyenyekevu niombe serikali iache watu wenye wasiwasi wawe huru, Ila wakipata elimu kwa ridhaa yao wataenda kupata chanjo.