mbavu nene
Senior Member
- Nov 17, 2012
- 102
- 85
Tutakukumbuka jeshi la mtu mmoja JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hata wakifuta naamini wapo wenye akili huwa wanatafuta habari na watazipata tu.Usishangae taarifa hii kufutwa soon, serikali haiko rafiki na genuine challenges. Inapenda habari ya kuisifia hata kwa mabovu.
Maza Kashapigwa chenga tayariKwahiyo J&J wamemuonjesha Malkia?
UWEZI KUWA NA CHANJO YA KWELI KWA KIRUSI CHENYEKUBADILIKA KWA HARAKA KAMA COVID watachomana chanjo mpaka akili ziwakae awaKuhusu chanjo ya Johnson and Johnson, Leo nimesikiliza vizuri Serikali ikizungumzia hili suala na Mh. Raisi amezungumza kuwa unapata chanjo moja tu.
Hapa kuna jambo halipo sawa, kwa taarifa zinazotolewa na vyombo vya habari ambavyo ni credible Kama New York Times, Reuters, daily mail vinasema chanjo moja ya Johnson and Johnson haiwezi kupambana na virusi vipya vya corona hivyo inahitaji watu wapate booster.
Hizi ni taarifa muhimu ambazo zimeripotiwa na vyombo vikubww vya habari, wamesema wazi kuwa hii chanjo ya J and J ipo less effective kwenye hivi virusi vipya.
Hvyo kwa unyenyekevu nikiwa Kama mtanzania ambae napenda kukosoa kwa staha naomba serikali iangalie hili kwa kuwa isije baadae mkawaambia tena watu kuwa wanahitaji hizo booster ikiwa sasa mmeshawaambia chanjo moja inatosha.
Chini nimeweka taarifa hizo kutoka kwenye hivyo vyombo vya habari
N.B
Naiomba pia Serikali iache watu wahoji wasiwasi wao kwa kuwa hili suala la wasiwasi wa chanjo lipo dunia nzima.
Hata huko US (Marekani) wanapotengeneza hizo chanjo Kuna watu wengi tu wamezikataa.
Report zinasema 20% ya wamarekani wamekataa hizi chanjo.
20% ya wamarekani ni sawa na watu milioni 65, hivyo Kuna watu millioni 65 Marekani wamekataa chanjo. Taarifa ipo chini
Hivyo suala la kukataa chanjo halipo tu Tanzania bali hadi huko.
Pia ni kweli kuwa wapo waliopata chanjo na bado wakapata corona na wakafa pia lakini si number kubwa(rare cases).
Hivyo kwa unyenyekevu niombe serikali iache watu wenye wasiwasi wawe huru, Ila wakipata elimu kwa ridhaa yao wataenda kupata chanjo.
Siyo mara ya kwanza kusoma haya. Hakuna hata makala moja inayo speculate udhaifu wa Janssen ambayo ni peer reviewed. Na mamlaka za kitaalamu zote hazijakubaliana na hiyo speculation. By the way ukisoma bila upendeleo utakuta kuwa hata moderna na pfizer zinasemwa na wengine kuwa hafifu dhidi ya Delta. Ni uoga mzuri wa wanasayansi fulani, lakini haujathibitika.Soma vizuri Reuters na daily mail wameeleza vizuri tu.
Ndio maana unaona mwisho wakasema experts already taking
Kwani hizo booster zikijakuhitajika baadae tatizo liko wapi hapo? Hata chanjo za watoto mbona zinakuwaga na booster?Ndo Ujue hawajui wanaloliongea ,wanasoma script,Pfizer na Moderna na wenyewe wataongeza booster ya tatu hivi karibuni,,,,Viongozi wetu wapo out of phase sanaaa
Mlisema marekani ilipigwa marufuku haitumiki. Saivi mmebadilisha gia mnasema wanaochoma ni wachache sana lakini bado watu wanachoma. Hamkosi visababuIla hata wakifuta naamini wapo wenye akili huwa wanatafuta habari na watazipata tu.
Hii chanjo ya Johnson and Johnson hata US wamechanja watu wachache sana, 2.4% ya wamarekani
Wamarekani wengi wanachanja Pfizer na Moderna
Mkuu Mimi Sina shida na hiz booster Ila nilichofanya ni kukumbusha tu kuwa chanjo moja haitoshi, so nakosoa walivyosema chanjo moja inatoshaKwani hizo booster zikijakuhitajika baadae tatizo liko wapi hapo? Hata chanjo za watoto mbona zinakuwaga na booster?