Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuambiwe hadi leo chini ya Utawala wa CCM kwa kipindi hiki kipya cha Rais huyu mtarajiwa kwa njia ya kupigiwa kura hapo 2025, lipi alilolifanya hata Wananchi wamchague 2025 awe Rais wao?
Kwa upande wangu naona mambo ni valuvalu tu hayana muelekeo wa kuonyesha ameleta unafuu wa maisha kwa mwananchi. Kama yapo tuambiwe hili na lile, miamala tozo, umeme gesi na vingi kwa mlaji vimeshuka bei na sasa Mwananchi wa Tanzania anapata milo mitatu kwa siku na wale wanaokula daku hawakwangui masufuria ili kura zetu tumpe.
Zaidi naona ni mtafaruku ndani ya chama chao na pia kujiwekeza kwa kupambana na wanaodai Katiba na wapinga chanjo bila ya kuviacha vyama vya siasa.
Rais ili ajikwamue aurudishe na kuumalizia ule mchakato wa Katiba Mpya kwa pale ulipobakia tutamuelewa.
Watalaam wapo, sheria + kanuni + taratibu pia zipo, kwa nini mambo hayaendi? Mamlaka na madaraka ya kuhakikisha mambo yanaenda amekasimiwa Rais, Kikatiba.Hyo shida ni ya nan? mfano anakuja gavana wa bot na ushauri wa kiuchumi, unataka rais alete ujuaji wakati kuna wasomi na wabonezi kwenye fani husika. sema watz uwajibikaji zero, mnataka rais awe mjuaji Kama bwana yule mchumi,mwanasheria,mkandarasi,askari ni yeye tu ndyo mjue mna rais
Gesi ya kupikia kupandaTozo
Bei ya mafuta ya kupikia kupanda
Bei ya petroli kupanda
Kama ZambiaHamna kitu. katiba irekebishwe ikitokea Rais alieko madarakani anafikwa na la kufikwa uitishwe uchaguzi maana inaonekana kwa katiba ya sasa Rais alieko madarakani anateua makamu wa Rais goigoi kwa sababu wanazojua wao.
Miaka 50Miezi mitano inatosha kupima utendaji katika nafasi kubwa kabisa ya u rais?
Sio mpya wa kumpima, uzoefu anao amekuwa makamu wa rais katika utawala huo huo kwa miaka mitano.Haitoshi, lakini aonyeshe mwanga katika sera, kuondoa sheria kandamizi.
Kuweka miongozo mizuri ya kodi
🤣🤣🤣🤣🤣
Hilo nalo neno,naona washaanza kujisahau kama mwendazake alikua kichaa kwa maoni huru ,ulikuwa kujamba huwezi lazima uangalie kila upande kama huonekani daa dekiii.Kubwa kuliko yote ni uhuru wa watu kutoa maoni yao bila hofu ya kupotezwa au kukamatwa na kufunguliwa kesi za utakatishaji pesa na uhujumu uchumi. Hata hiki kitendo cha kumjadili mama SSH na serikali yake ya awamu ya sita bila hofu ni kitendo cha maendeleo makubwa
Ingekua ni kipindi cha mwendazake nyuzi kama hizi zingekua zinafutwa tu na mods kwa uoga na hofu tuliojengewa wabongo
Kwani yy amekuja kulea mayatima wacheni uvivu fanyeni kazi mupate kulipa mmezowewa short cut ya maisha wacheni ushambaa huoo.Amewaleteeni chanjo ya uviko 19 na tozo za miamala
Watumishi wa umma wamepandisha vyeoTuambiwe hadi leo chini ya Utawala wa CCM kwa kipindi hiki kipya cha Rais huyu mtarajiwa kwa njia ya kupigiwa kura hapo 2025, lipi alilolifanya hata Wananchi wamchague 2025 awe Rais wao?
Kwa upande wangu naona mambo ni valuvalu tu hayana muelekeo wa kuonyesha ameleta unafuu wa maisha kwa mwananchi. Kama yapo tuambiwe hili na lile, miamala tozo, umeme gesi na vingi kwa mlaji vimeshuka bei na sasa Mwananchi wa Tanzania anapata milo mitatu kwa siku na wale wanaokula daku hawakwangui masufuria ili kura zetu tumpe.
Zaidi naona ni mtafaruku ndani ya chama chao na pia kujiwekeza kwa kupambana na wanaodai Katiba na wapinga chanjo bila ya kuviacha vyama vya siasa.
Rais ili ajikwamue aurudishe na kuumalizia ule mchakato wa Katiba Mpya kwa pale ulipobakia tutamuelewa.
Hayo madogo ndio yapi?Amefanya vizuri kwenye mambo madogo ila makubwa anakosea, hajali haki za binadamu, na anawanyima wengine uhuru wao wa kutoa maoni.
Kubwa kuliko yote ni uhuru wa watu kutoa maoni yao bila hofu ya kupotezwa au kukamatwa na kufunguliwa kesi za utakatishaji pesa na uhujumu uchumi. Hata hiki kitendo cha kumjadili mama SSH na serikali yake ya awamu ya sita bila hofu ni kitendo cha maendeleo makubwa
Ingekua ni kipindi cha mwendazake nyuzi kama hizi zingekua zinafutwa tu na mods kwa uoga na hofu tuliojengewa wabo
Mwandiko wako unaonesha wewe ni zao la elimu bureKwani yy amekuja kulea mayatima wacheni uvivu fanyeni kazi mupate kulipa mmezowewa short cut ya maisha wacheni ushambaa huoo.