Rais Samia na wabunge wetu, mnataka wananchi wafanye nini msikilize maoni yao na kufanyia kazi?

Rais Samia na wabunge wetu, mnataka wananchi wafanye nini msikilize maoni yao na kufanyia kazi?

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Ni swali tu kwenu viongozi wetu hasa kuhusu hili la DP world kupewa Bandari zote za Tanzania Bara.

Wananchi hamtaki waandamane maana wakifanya hivyo mnawaona ni kama wanyama wasiostahili kuishi, mtahakikisha wanapigwa ikiwezekana kumiminiwa risasi za moto!

Wamekubali hilo, sasa wanatoa maoni yao kuhusiana na mstakabali wa nchi yao, asilimia kubwa ya watanzania, wanataka mkataba uwepo ila kuna vipengele kwenye huo mkataba zirekebushwe na ama kufutwa, napo hamtaki kuchukua maoni yao!

Kwa hiyo mnadhani ni nini haki ya mwananchi katika nchi yake?

Wakiwatukana kwa sababu ya wao kujiona ni mapanzi katika nchi yao wenyewe, mnatawatafuta ili ikiwezekana wapotezwe, yaani kila haki yao mnaizuia, hamtaki waandamane kupinga kile wanadhani si sawa, hamtaki pia hata kuchukua maoni yao. Nyinyi ni watanzania wa aina gani?

Mnataka wafanye nini ili nyie mjisikie kuwa ni viongozi wao na pia nanyi ni watanzania kama walivyo wao na kwamba hata hayo madaraka mliyonayo, yamekwisha kuwa na watanzania wengine nao wakapita na sasa mpo nyinyi na mtayaacha?

Kuwa kiongozi si kwamba unaakili kuliko waliokuweka, hapana!

Ni vizuri maoni ya wananchi yasipuuzwe, kwa pamoja tunaijenga Tanzania
 
Ni swali tu kwenu viongozi wetu hasa kuhusu hili la DP world kupewa Bandari zote za Tanzania Bara

Wananchi hamtaki waandamane maana wakifanya hivyo mnawaona ni kama wanyama wasiostahili kuishi, mtahakikisha wanapigwa ikiwezekana kumiminiwa risasi za moto!

Wamekubali hilo, sasa wanatoa maoni yao kuhusiana na mstakabali wa nchi yao, asilimia kubwa ya watanzania, wanataka mkataba uwepo ila kuna vipengele kwenye huo mkataba zirekebushwe na ama kufutwa, napo hamtaki kuchukua maoni yao!

Kwa hiyo mnadhani ni nini haki ya mwananchi katika nchi yake?

Wakiwatukana mnawatafuta ili ikiwezekana wapotezwe, yaani kila haki yao mnaizuia

Mnataka wafanye nini ili nyie mjisikie kuwa ni viongozi wao na pia nanyi ni watanzania kama walivyo wao na kwamba hata hayo madaraka mliyonayo, yamekwisha kuwa na watanzania wengine nao wakapita na sasa mpo nyinyi na mtayaacha?

Kuwa kiongozi si kwamba unaakili kuliko waliokuweka, hapana!

Ni vizuri maoni ya wananchi yasipuuzwe, kwa pamoja tunaijenga Tanzania
Likija suala muhimu kwa taifa hi la katiba mpya mko kimya likija hili la kipuuzi lilioja udini ndo manajifanya mna uzalendo, wanafiki wakubwa nyie
 
Likija suala muhimu kwa taifa hi la katiba mpya mko kimya likija hili la kipuuzi lilioja udini ndo manajifanya mna uzalendo, wanafiki wakubwa nyie
2013 umesahau mkuu,

Nani alisababisha tukose Katiba?
 
Ni swali tu kwenu viongozi wetu hasa kuhusu hili la DP world kupewa Bandari zote za Tanzania Bara.

Wananchi hamtaki waandamane maana wakifanya hivyo mnawaona ni kama wanyama wasiostahili kuishi, mtahakikisha wanapigwa ikiwezekana kumiminiwa risasi za moto!

Wamekubali hilo, sasa wanatoa maoni yao kuhusiana na mstakabali wa nchi yao, asilimia kubwa ya watanzania, wanataka mkataba uwepo ila kuna vipengele kwenye huo mkataba zirekebushwe na ama kufutwa, napo hamtaki kuchukua maoni yao!

Kwa hiyo mnadhani ni nini haki ya mwananchi katika nchi yake?

Wakiwatukana kwa sababu ya wao kujiona ni mapanzi katika nchi yao wenyewe, mnatawatafuta ili ikiwezekana wapotezwe, yaani kila haki yao mnaizuia, hamtaki waandamane kupinga kile wanadhani si sawa, hamtaki pia hata kuchukua maoni yao. Nyinyi ni watanzania wa aina gani?

Mnataka wafanye nini ili nyie mjisikie kuwa ni viongozi wao na pia nanyi ni watanzania kama walivyo wao na kwamba hata hayo madaraka mliyonayo, yamekwisha kuwa na watanzania wengine nao wakapita na sasa mpo nyinyi na mtayaacha?

Kuwa kiongozi si kwamba unaakili kuliko waliokuweka, hapana!

Ni vizuri maoni ya wananchi yasipuuzwe, kwa pamoja tunaijenga Tanzania
Hawama cha kuogopa kwa sababu wamejiweka madarakani
 
Wamezoea na hili litapita kama ripoti ya CAG tu

Msingi wa demokrasia ni “Mamlaka na Nguvu hutokana na ridhaa ya wananchi “people are rulers and the Govt is the servant”

kwetu sisi ni kinyume chake” kuna kundi fulani linajiamulia mambo kwa kudai ndio tunachotaka sisi wananchi! Ni hatari kabisa!
 
Wakati wa kuomba kura mbunge anakuwa ni mali ya wapiga kura, akifika bungeni anakuwa ni mali ya raisi na ni mali ya chama na ni mali ya spika.
 
Ni swali tu kwenu viongozi wetu hasa kuhusu hili la DP world kupewa Bandari zote za Tanzania Bara
DPW, kwa mkataba wa IGA siyo tu wanapewa bandari zote za JMT (Zanzibar wasijidanganye kuwa bandari zao hazihusishwi) bali wana "exclusive rights" ya kutokuingiliwa kuendesha bandari.

Wananchi hamtaki waandamane maana wakifanya hivyo mnawaona ni kama wanyama wasiostahili kuishi, mtahakikisha wanapigwa ikiwezekana kumiminiwa risasi za moto!
Mbona tayari imefanyika!

Wamekubali hilo, sasa wanatoa maoni yao kuhusiana na mstakabali wa nchi yao, asilimia kubwa ya watanzania, wanataka mkataba uwepo ila kuna vipengele kwenye huo mkataba zirekebushwe na ama kufutwa, napo hamtaki kuchukua maoni yao!
Mkataba utupiliwe mbali, na DPW iwekeze kupitia TIC, kituo cha uwekezaji kama makampuni mengine yakiwemo ya uchimbaji madini.
 
Wakati wa kuomba kura mbunge anakuwa ni mali ya wapiga kura, akifika bungeni anakuwa ni mali ya raisi na ni mali ya chama na ni mali ya spika.
Dah!
Kuna kipindi nimeanza kufikiri, huwenda sisi nchi yetu, mfumo tulionao haujatufaa

Huu mfumo wa Rais na mawaziri watokane na vyama, nadhani kwetu sisi hautupi nafasi ya kujadili mambo yetu tukiwa huru

Wabunge badala ya kuwa huru kujadili mambo ya kitaifa, wanakuwa waoga kwa sababu watawajibishwa na Rais anayetokana na chama chao,

Mawaziri badala ya kujibu hoja za wabunge na ikiwezekana kukataa kuwa watumwa wa Raisi, nao wanaendeshwa na Rais kwa sababu wanaogopa kutumbuliwa

Lakini pengine tukiwa na mawaziri huru, watapitisha kile tu kwa ajili ya manufaa ya nchi na siyo matakwa ya Rais

Na wabunge wakiwa huru, watampinga Rais wazi wazi kwenye mambo ya hovyo
 
Ni swali tu kwenu viongozi wetu hasa kuhusu hili la DP world kupewa Bandari zote za Tanzania Bara.

Wananchi hamtaki waandamane maana wakifanya hivyo mnawaona ni kama wanyama wasiostahili kuishi, mtahakikisha wanapigwa ikiwezekana kumiminiwa risasi za moto!

Wamekubali hilo, sasa wanatoa maoni yao kuhusiana na mstakabali wa nchi yao, asilimia kubwa ya watanzania, wanataka mkataba uwepo ila kuna vipengele kwenye huo mkataba zirekebushwe na ama kufutwa, napo hamtaki kuchukua maoni yao!

Kwa hiyo mnadhani ni nini haki ya mwananchi katika nchi yake?

Wakiwatukana kwa sababu ya wao kujiona ni mapanzi katika nchi yao wenyewe, mnatawatafuta ili ikiwezekana wapotezwe, yaani kila haki yao mnaizuia, hamtaki waandamane kupinga kile wanadhani si sawa, hamtaki pia hata kuchukua maoni yao. Nyinyi ni watanzania wa aina gani?

Mnataka wafanye nini ili nyie mjisikie kuwa ni viongozi wao na pia nanyi ni watanzania kama walivyo wao na kwamba hata hayo madaraka mliyonayo, yamekwisha kuwa na watanzania wengine nao wakapita na sasa mpo nyinyi na mtayaacha?

Kuwa kiongozi si kwamba unaakili kuliko waliokuweka, hapana!

Ni vizuri maoni ya wananchi yasipuuzwe, kwa pamoja tunaijenga Tanzania
Wameshawasikiza na wameona hamna hoja ya maana, so wanaendelea
 
Likija suala muhimu kwa taifa hi la katiba mpya mko kimya likija hili la kipuuzi lilioja udini ndo manajifanya mna uzalendo, wanafiki wakubwa nyie
Na kwa unafiki wao wamejazwa chuki tu
 
DPW, kwa mkataba wa IGA siyo tu wanapewa bandari zote za JMT (Zanzibar wasijidanganye kuwa bandari zao hazihusishwi) bali wana "exclusive rights" ya kutokuingiliwa kuendesha bandari.


Mbona tayari imefanyika!


Mkataba utupiliwe mbali, na DPW iwekeze kupitia TIC, kituo cha uwekezaji kama makampuni mengine yakiwemo ya uchimbaji madini.
Nenda kautupe wewe
 
Likija suala muhimu kwa taifa hi la katiba mpya mko kimya likija hili la kipuuzi lilioja udini ndo manajifanya mna uzalendo, wanafiki wakubwa nyie
Hata wewe unaetoa maoni yako unachembechembe za udini na ukabila.
 
Msaliti hana majibu ya maana ndio maana anatupiga chenga.
 
Back
Top Bottom