Rais Samia nakukubali wewe binafsi ila CCM hapana. Utaondoka na roho yako nzuri ya upendo ila CCM katili inaweza kubaki au kurudi tena!

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mh Rais Mimi kama mwananchi wako sina tatizo na Samia Suluhu Hassan Nina tatizo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiondoka wewe anaweza kuja mtesi mwingine Watanzania tukalia tena.

Binafsi kwangu umenimaliza kama Samia Suluhu Hassan ila kama Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Bado!!

Asante mama!
 
Rais Samia asipotumia Fursa Hii tuliyopewa na Mungu kufanya mageuzi akitoka yeye tutalimia meno lami.😅😅
 
Na NDIO maana ya kuitaka KATIBA mpya yenye kuwafunga kengele watakapoingia hapo!

Hamna namna nyingine na mama ipiganie hii ili Taifa lije kupona tuendako.

Asante.
 
Naomba jamiiforum haka kaujumbe kangu mama akasome angalau ajue Kuna kiumbe anakiongongoza kinaitwa superbug!
 
Ccm inaumiza Sana watanzania inabadilisha TU viongozi ila ni watu katili Sana mama regulate hili!
 
Ndio nilikuwa nayakataa mm Kila mtu kawa chawa wa rais kisa tu ametupa promo kuwa yupo humu
 
CCM ni ileile Dr Samia Ni master mind akisaidiana na master kinana na jk mdg mdg had 2030 pmj Sana Dr [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…