Rais Samia nakuomba usitupoteze sisi ambao tunakuombea mafanikio!

Rais Samia nakuomba usitupoteze sisi ambao tunakuombea mafanikio!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Sisi ambao sio washabiki wa vyama bali washabiki wa nchi “ Independent “ tunapata wakati mgumu maana kuna wakati tunamtetea Raisi na wakati tunampinga kwa hoja. Lakini wengi wetu na mimi binafsi nimekuwa namuunga mkono sana Raisi Samia kwenye mambo mengi na kumpinga kwenye mambo machache.

Naunga mkono haya kwa ufupi
1. Kukubali mchakato wa katiba uanze
2. Kubadilisha mwenendo wa mahakama, Polisi na magereza
3. Kuaangalia mfumo mpya wa elimu
4. Sera za kilimo zote

Napinga haya
1. Mkataba wa bandari unahitaji marekebisho
2. Raisi anaogopa katiba nashauri asiogope
3. Kucheleweshwa kwa sera ya diaspora inarudisha maendeleo nyuma
4. Waziri wetu kama Fedha inabidi abadilishwe na kuweka mtu kama Dr Kimei
5. Hakuna ukali kwenye rushwa

Naomba sana Raisi utusikilize maana hivi karibuni naona wakina Lissu wamekupa pressure sasa unakuwa kama huna mwelekeo mfano swala la elimu ya katiba ni kichekesho fanya vitu kwa tija katiba sio ya chama ni ya watu wote
 
Sisi ambao sio washabiki wa vyama bali washabiki wa nchi “ Independent “ tunapata wakati mgumu maana kuna wakati tunamtetea Raisi na wakati tunampinga kwa hoja. Lakini wengi wetu na mimi binafsi nimekuwa namuunga mkono sana Raisi Samia kwenye mambo mengi na kumpinga kwenye mambo machache.

Naunga mkono haya kwa ufupi
1. Kukubali mchakato wa katiba uanze
2. Kubadilisha mwenendo wa mahakama, Polisi na magereza
3. Kuaangalia mfumo mpya wa elimu
4. Sera za kilimo zote

Napinga haya
1. Mkataba wa bandari unahitaji marekebisho
2. Raisi anaogopa katiba nashauri asiogope
3. Kucheleweshwa kwa sera ya diaspora inarudisha maendeleo nyuma
4. Waziri wetu kama Fedha inabidi abadilishwe na kuweka mtu kama Dr Kimei
5. Hakuna ukali kwenye rushwa

Naomba sana Raisi utusikilize maana hivi karibuni naona wakina Lissu wamekupa pressure sasa unakuwa kama huna mwelekeo mfano swala la elimu ya katiba ni kichekesho fanya vitu kwa tija katiba sio ya chama ni ya watu wote


Kosa la kumtapeli Mbowe ambaye alidiriki kukutana na wewe na kuonekana msaliti kinatia huruma maana kinatudisha nchi hii nyuma sana.
 
Hapo Hakuna Ukali Kwenye Rushwa Nakazia
 
Kamundu,

..Maza hajakubali mabadiliko ya katiba na kuunda tume huru ya uchaguzi.

..Miswada ya mabadiliko ya sheria iliyopelekwa na serikali bungeni imepuuza mapendekezo na ushauri wa kikosi kazi cha Raisi, wadau wa demokrasia, na viongozi wakubwa wa dini.
 
Sisi ambao sio washabiki wa vyama bali washabiki wa nchi “ Independent “ tunapata wakati mgumu maana kuna wakati tunamtetea Raisi na wakati tunampinga kwa hoja. Lakini wengi wetu na mimi binafsi nimekuwa namuunga mkono sana Raisi Samia kwenye mambo mengi na kumpinga kwenye mambo machache.

Naunga mkono haya kwa ufupi
1. Kukubali mchakato wa katiba uanze
2. Kubadilisha mwenendo wa mahakama, Polisi na magereza
3. Kuaangalia mfumo mpya wa elimu
4. Sera za kilimo zote

Napinga haya
1. Mkataba wa bandari unahitaji marekebisho
2. Raisi anaogopa katiba nashauri asiogope
3. Kucheleweshwa kwa sera ya diaspora inarudisha maendeleo nyuma
4. Waziri wetu kama Fedha inabidi abadilishwe na kuweka mtu kama Dr Kimei
5. Hakuna ukali kwenye rushwa

Naomba sana Raisi utusikilize maana hivi karibuni naona wakina Lissu wamekupa pressure sasa unakuwa kama huna mwelekeo mfano swala la elimu ya katiba ni kichekesho fanya vitu kwa tija katiba sio ya chama ni ya watu wote
Wewe kama nani wa kumpangia Samia? Subiria wewe Ukiwa Rais ndio itafanya hayo.

Mwisho kwani akikupoteza wewe kuja shida gani?
 
3. Kucheleweshwa kwa sera ya diaspora inarudisha maendeleo nyuma
Kucheleweshwa sera ya Diaspora kunarudisha maendeleo nyuma, how ?????

Diaspora wa Tanzania wana impact gani kwenye maendeleo ?
 
Wewe kama nani wa kumpangia Samia? Subiria wewe Ukiwa Rais ndio itafanya hayo.

Mwisho kwani akikupoteza wewe kuja shida gani?
Hoja nzuuuri umekuja kiroboto kuchafua...niwapi kampangia wakati kashauri vizuri! Kumpoteza kivipi?? Kwanini usipotee wewe? Unajidai mnaaazi kushangilia ujinga!!
 
Hoja nzuuuri umekuja kiroboto kuchafua...niwapi kampangia wakati kashauri vizuri! Kumpoteza kivipi?? Kwanini usipotee wewe? Unajidai mnaaazi kushangilia ujinga!!
-Anaposema amtie Waziri wa Fedha
-Anaposema anapinga DP World
-Ujinga wa Diaspora wakati anajua Tanznaia hatutaki

Mwisho kama hakuna ukali kwenye Rushwa aibe Sasa Ili atuthibitishie.

NImewahi kuandika Uzi humu jf kwamba mnionyeshe mafisadi walifungwa na awamu ya 5 na Mimi niwaoneshe wa awamu ya 6.

Unadhani kukemea Ufisadi ni kupiga Makelele ya kijinga wakati watu wanaiba na hakuna hatua? Nampingeza Samia maana ameweka mifumo ya kupunguza cash na waliothubutu walitiwa mbaroni wengi tuu.
 
Back
Top Bottom